Ekolojia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ekolojia''' (gir. οἶκος ''oikos'' "nyumba" + -λογία ''logia'' "elimu ya.."]) ni tawi la biolojia inayoangalia viumbehai na mazingira yao,...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Ekolojia''' (gir. οἶκος ''oikos'' "nyumba" + -λογία ''logia'' "elimu ya.."]) ni tawi la [[biolojia]] inayoangalia [[viumbehai]] na mazingira yao, kama ni hali asilia au viumbehai wengine.
 
Kwa hiyo ukiuliza jinsi gani [[samaki]] wanahusiana na samaki na wanyama wengine na binadamu pamoja na mimea na hali ya maji wanamoishi unauliza mswalimaswali kuhusu ekolojia yao.
 
Wataalamu wa ekolojia huchungulia kila kitu kuanzia bakteria ndogo katika [[myeyusho]] wa kuwalisha hadi athira ya [[msitu wa mvua]] kwa [[halihewa]] ya dunia.