Papa Yohane Paulo II : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d →Viungo vya nje: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|es}} (9) using AWB (10903) |
dNo edit summary |
||
Mstari 10:
Alimfuata [[Papa Yohane Paulo I]] akiwa Papa wa kwanza asiye [[Italia|Mwitalia]] tangu miaka 455 iliyopita, wakati wa [[Uholanzi|Mholanzi]] [[Papa Adrian VI]] ([[1522]] - [[1523]]), tena papa wa kwanza kutoka [[Polandi]] (na ma[[kabila]] yoyote ya [[Waslavi]]) katika [[historia]] yote ya [[Kanisa]]. Alifuatwa na [[Papa Benedikto XVI]].
Wengi wanamhesabu kati ya watu walioathiri zaidi [[karne ya 20]], hasa kwa sababu tangu mwanzo wa upapa wake alipambana na [[Ukomunisti]] uliotesa nchi yake asili na nyinginezo, akachangia kwa kiasi kikubwa kikomo chake na kusambaratika kwa [[Urusi]].
Vilevile alilaumu [[ubepari]] wa nchi za [[magharibi]]<ref>Hastings, Adrian; Alistair Mason; Hugh S. Pyper ''The Oxford Companion to Christian Thought'' Oxford University Press 2000 p. 95 [http://books.google.com/books?id=ognCKztR8a4C&pg=PA95&lpg=PA95&dq=Pope+John+Paul+II+criticism+of+capitalism&source=bl&ots=WZvlD5z3nN&sig=5uwyFimxfwqpl-8r_-4UNLBTrQg&hl=en&ei=iZ2rTYeBJMXLgQe98bXzBQ&sa=X&oi=book_result&ct=result&resnum=10&ved=0CFMQ6AEwCTgy#v=onepage&q=Pope%20John%20Paul%20II%20criticism%20of%20capitalism&f=false Online version] available at [[Google Books]]</ref><ref>Magister, Sandro [http://www.simplysharing.com/pope.htm "Fighting the Faithless West"] ''The Sunday Oregonian''
3 Aprili 2005 Retrieved 17 Aprili 2011</ref> na kudai [[haki]] katika jamii zote, akitetea hasa [[uhai]] wa [[binadamu]] na [[uhuru wa dini]].
Upande wa [[dini]], aliboresha uhusiano kati ya Kanisa Katoliki na [[madhehebu]] mengine ya [[Ukristo]]<ref name="Anglican1">{{cite web|url=http://www.anglicancommunion.org/acns/news.cfm/2005/4/8/ACNS3967|title=Anglican tributes to Pope John Paul II|work=[http://www.anglicancommunion.org/ Anglican Communion Office]|publisher= Anglican Consultative Council|accessdate=2009-01-01}}</ref> pamoja na ule na dini mbalimbali, kuanzia [[Uyahudi]]<ref name="AIJAC">{{cite web|url=http://www.aijac.org.au/?id=articles&_action=showArticleDetails&articleID=526|title=AIJAC expresses sorrow at Pope's passing|date=4 Aprili 2005|publisher=[[Australia/Israel & Jewish Affairs Council]]|accessdate=2009-01-01}}</ref>.
Mstari 21:
Papa Wojtyła alitangaza [[wenye heri]] 1,340 na [[watakatifu]] 483, ili kuwapa [[Ukristo|Wakristo]] wa leo vielelezo mbalimbali kwa maisha yao ili walenge [[utakatifu]] walioitiwa na [[Mungu]].<ref name="USCCB_Bio">{{cite web |url=http://www.usccb.org/comm/popejohnpaulii/biography.shtml |title=Pope John Paul II: A Light for the World |accessdate=2009-01-01|publisher=United States Council of Catholic Bishops |year=2003}}</ref><ref name="Moore1">{{cite news|url=http://www.telegraph.co.uk/news/2009919/Pope-John-Paul-II-on-course-to-become-saint-in-record-time.html|title=Pope John Paul II on course to become Saint in record time|last=Moore|first=Malcolm|date=22 Mei 2008|work=[[Daily Telegraph]] |accessdate=2009-01-01 | location=London}}</ref> Idadi hiyo ni kubwa kuliko ile ya waliotangazwa na jumla ya Mapapa wote waliomtangulia walau katika karne tano za mwisho.<ref name="Hollingshead">{{cite news|url=http://www.guardian.co.uk/world/2006/apr/01/catholicism.religion|title=Whatever happened to ... canonising John Paul II?|last=Hollingshead |first=Iain |authorlink=Iain Hollingshead |date=1 Aprili 2006|work=[[The Guardian]] |accessdate=2009-01-01 | location=London}}</ref><ref name="Gertz">{{cite web|url=http://www.christianitytoday.com/ct/2003/octoberweb-only/10-20-52.0.html|title=Christian History Corner: John Paul II's Canonisation Cannon|last=Gertz|first=Steven|date=10 Januari 2003|work=[[Christianity Today]]|accessdate=2009-01-01}}</ref><ref name="Beatifications">{{cite web|url=http://www.usccb.org/pope/beatify.htm#10|title=Beatifications During Pope John Paul II’s Pontificate, 1988|last=Walsh|first=Sister Mary Ann|work=From: ‘John Paul II: A Light for the World’, [http://www.popebook.com/ Popebook.com]|publisher=[[United States Conference of Catholic Bishops|United States Conference of Catholic Bishops, Inc.]]|accessdate=2009-01-01}}</ref><ref name="Vatican1">{{cite web|url=http://www.vatican.va/news_services/liturgy/saints/index_saints_en.html|title=Table of the Canonisations during the Pontificate of His Holiness John Paul II|publisher=[[The Holy See]]|accessdate=2009-01-01}}</ref><ref>''Whether John Paul II canonised more saints than all previous popes put together is difficult to prove, as the records of many early canonisations are incomplete, missing, or inaccurate.''</ref>
Alikuwa anaongea lugha mbalimbali, zikiwemo za Kipolandi, Kiitalia, [[Kifaransa]], [[Kijerumani]], [[Kiingereza]], [[Kihispania]], [[Kireno]], [[Kiukraina]], [[Kirusi]], [[Kikroati]], [[Kiesperanto]], [[Kilatini]] na [[Kigiriki cha kale]].
Yohane Paulo II ametangazwa na mwandamizi wake [[Papa Benedikto XVI]] kuwa mwenye heri tarehe [[1 Mei]] [[2011]],<ref name="CC1">{{cite web|url= http://www.catholicculture.org/news/headlines/index.cfm?storyid=4969|title=Catholic Culture : Latest Headlines : SPECIAL: Popes Pius XII, John Paul II declared 'venerable'|work=catholicculture.org|accessdate=2010-02-25}}</ref><ref name="CathLife">{{cite web|url= http://acatholiclife.blogspot.com/2009/12/pope-pius-xii-john-paul-ii-declared.html|title=A Catholic Life: Pope Pius XII, John Paul II Declared Venerable|work=acatholiclife.blogspot.com|accessdate=2010-02-25}}</ref><ref name="VenJP">{{cite web|url= http://www.piercedhearts.org/jpii/venerable_jpii.htm|title=Venerable John Paul II|date=19 December 2009work=piercedhearts.org|accessdate=2010-02-25}}</ref><ref name="CNA2">{{cite web|url= http://www.catholicnewsagency.com/news/john_paul_ii_declared_venerable_moves_one_step_closer_to_sainthood/|title=John Paul II declared [[Venerable]], moves one step closer to sainthood :: Catholic News Agency (CNA)|work=catholicnewsagency.com|accessdate=2010-02-25}}</ref>
</ref> halafu [[Papa Fransisko]] akamtangaza [[mtakatifu]] tarehe [[27 Aprili]] [[2014]].
Mstari 43:
Mwaka [[1939]] [[Ujerumani]] wa [[Hitler]] ulivamia Polandi ukafunga chuo kikuu hicho, huku [[wanaume]] wote wakidaiwa kufanya kazi. Hivyo, tangu mwaka [[1940]] hadi [[1944]], Karol alifanya kazi mbalimbali za mikono asije akahamishiwa katika [[makambi ya KZ]].<ref name="ShortBio"/>
Baba yake alifariki kwa mpasuko wa moyo mwaka [[1941]], akimuacha peke yake.<ref name="CNN6"/><ref name="CBN"/><ref name = "Stourton5">{{cite book |last1=Stourton |first1=Edward |authorlink1=Edward Stourton (journalist)|title=John Paul II: Man of History |accessdate=2009-01-01|publisher=Hodder & Stoughton |location=London |isbn=0340908165 |page=60 |year=2006}}</ref> Miaka 40 baadaye alisema,''"Sikuwepo mama alipofariki, sikuwepo kaka alipofariki, sikuwepo baba alipofariki. Kufikia umri wa miaka 20 nilikuwa nimeshapoteza wapenzi wangu wote"''.
Ndipo alipoanza kufikiria sana [[wito]] wa [[upadri]], ambao polepole ukawa ''‘jambo la ndani lenye hakika ya hali ya juu’''.<ref name = "Stourton6">{{cite book |last1=Stourton |first1=Edward |authorlink1=Edward Stourton (journalist)|title=John Paul II: Man of History |accessdate=2009-01-01|publisher=Hodder & Stoughton |location=London |isbn=0340908165 |page=63 |year=2006}}</ref> Kwa sababu hiyo, mnamo Oktoba [[1942]], alipiga hodi kwenye nyumba ya [[askofu mkuu] wa [[Kraków]], [[kardinali]] [[Adam Stefan Sapieha]], akaomba asomee upadri.<ref name = "Stourton6"/> Mapema akawa anasoma kwa siri katika [[seminari]] iliyoendeshwa huko kwa maficho.
|