Moroko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Infobox_Country|
native_name = المملكة المغربية<br />''Al Mamlakah al Maghribīyah''<br/>ⵜⴰⴳⵍⴷⵉⵜ ⵏ ⵍⵎⴰⵖⵔⵉⴱ<br />''Tagldit N'Lmaġrib'' |
conventional_long_name = Ufalme wa Moroko |
common_name = Moroko |
Mstari 8:
national_motto = الله، الوطن،الملك<br />(Allāh, al Waţan, al Malik = Mungu, Taifa, Mfalme)|
national_anthem = [[Wimbo la Sharifa]] |
official_languages = [[Kiarabu]] | [[Kiberberi]] |
capital = [[Rabat]] |
latd=34|latm=02|latNS=Kas|longd=6|longm=51|longEW=Magh|
Mstari 14:
government_type= [[Ufalme wa kikatiba]] |
leader_titles = [[Mfalme wa Moroko|Mfalme]]<br />[[Waziri Mkuu wa Morocco|Waziri Mkuu]] |
leader_names = [[
area_rank = ya
area_magnitude = 1_E10 |
area= 446,550 |
areami²= 172,
percent_water =
population_estimate =
population_estimate_year = Julai
population_estimate_rank = ya
population_census=|
population_census_year=|
population_density =
population_densitymi² =
population_density_rank=
GDP_PPP_year= 2005 |
GDP_PPP = $139.5 billion<!--cia.gov --> |
Mstari 51:
footnotes = Namba zote bila Sahara ya Magharibi
}}
[[Picha:Map of Morocco from CIA World Factbook.png|thumb|
'''Moroko''' (kwa [[Kiarabu]] المغرب), au kirefu Ufalme wa Moroko (المملكة المغربية al-mamlaka al-maghribiya yaani "ufalme wa [[magharibi]]") ni nchi ya [[Afrika ya Kaskazini]]-Magharibi.
Maeneo ya [[Hispania|Kihispania]] ya [[Ceuta]] na [[Melilla]]
Mpaka wa kusini haueleweki vizuri kwa sababu Moroko inadai ya kwamba [[Sahara ya Magharibi]] ni sehemu ya eneo lake, hali isiyokubaliwa na jumuiya ya kimataifa tangu Moroko
==Jina==
Jina la "Moroko" limetokana na [[mji mkuu]] wa kale [[Marakesh]].
== Jiografia ==
[[Picha:Marokko von Spanien-5.jpg|thumbnail|left|Pwani
Eneo la Moroko ni [[km²]] 446,550
Kuna milima inayofunika maeneo makubwa. Milima ya [[Rif]] inaongozana na pwani la Mediteranea yenye mwelekeo kutoka kaskazini-magharibi kwenda kazkazini-mashariki. Milima ya [[Atlas]] iko katikati ya nchi kutoka kusini-magharibi kwenda kaskazini-mashariki.▼
== Wakazi ==▼
Mnamo 60 % (Januari 2005) za wakazi milioni 32.7 huishi mjini. Kiasili wakazi wengi ni [[Waberber]] na [[Waarabu]], pamoja watu wa asili ya [[Andalusia]] (Hispania) na wa [[Afrika]] kusini ya Sahara. Waberber ndio wenyeji asilia.▼
▲Kuna [[milima]] inayofunika maeneo makubwa. Milima ya [[Rif]] inaongozana na pwani
Kaskazini ya nchi ambayo kitovu chake ni [[Fes]] ina zaidi tabia ya Kiarabu, kusini ambayo kitovu chake ni Marakesh zaidi ya Kiberber.▼
Walio wengi sana (99%) ni [[Waislamu]] [[Wasunni]], wengine [[Wayahudi]] na [[Wakristo]].▼
Wayahudi waliwahi kuwa wengi kidogo lakini idadi yao imepungua katika miaka ya nyuma kutokana na uhamiaji hata kama hali yao katika taifa ni nzuri kulingana na nchi nyingine za Kiarabu. Wakristo karibu wote ni wa asili ya Kiulaya.▼
=== Miji mikubwa ===
Mji mkuu ni [[Rabat]]
▲[[Picha:Marokko von Spanien-5.jpg|thumbnail|left|Pwani la Moroko jinsi inavyoonekana kutoka [[Hispania]] kupitia mlango wa bahari wa [[Gibraltar]]]]
Miji mitano mikubwa ni kama
* 1. [[Casablanca]]: wakazi 2.933.684
* 2. [[Rabat]]: wakazi 1.622.860
Line 83 ⟶ 79:
* 4. [[Marakesh]]: wakazi 823.154
* 5. [[Agadir]]: wakazi 678.596
=== Lugha ===▼
Lugha rasmi ya nchi ni [[Kiarabu]]. Waberber wengi hasa kaskazini waliacha lugha yao na kutumia Kiarabu alkini walileta maneno yao katika lahaja ya Kiarabu cha Kimaroko.▼
== Historia ==
Line 91 ⟶ 84:
=== Moroko ya Kale ===
Habari za kimaandishi
Kaskazini
=== Uvamizi wa Kiarabu ===
[[Karne ya
=== Murabitun na Muwahidun ===
[[Wafalme]] wa [[Wamurabitun]] (Almoravi) ([[1073]]-[[1147]]) na wa [[Wamuwahidun]] (Almohad) ([[1147]]-[[1269]]) walieneza [[utawala]] wao hadi [[Afrika ya Magharibi]] na
[[Athira]] ya milki ya Moroko ilipungua baadaye hadi [[Hispania]] yote
[[Wareno]] wa [[Wahispania]] waliendelea kuteka miji kwenye pwani za Moroko. Utawala wa Hispania juu ya [[Ceuta]] na [[Melilla]] leo ni mabaki ya nyakati zile. Sehemu za nchi zilianza kujitawala bila kukubali tena mamlaka wa juu, kwa mfano makabila ya Waberber milimani au miji ya Rabat na [[Sale (mji)|Sale]] iliyounda dola === Waalawi ([[1666]] hadi leo) ===
Katika [[karne ya 17]] [[familia]] ya Waalawi walishika mamlaka wakaendelea nayo hadi leo. Waliweza kutunza [[uhuru]] wa nchi hadi mwanzo wa [[karne ya 20]]
[[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] ilidhoofisha Ufaransa pamoja na kuingia kwa [[wanajeshi]] [[Waamerika]] na [[Waingereza]] na [[ahadi]] zao za kuleta uhuru tokeo lililohamasisha [[wazalendo]] wa Maroko kupigania upya uhuru wa nchi.
Baada ya [[vita]] Wafaransa walijaribu kukandamiza mwendo huo wakamwondoa [[Sultani]] [[Mohammed V]] nchini [[1953]]. [[Ghasia]] zikaongezeka, Sultani akarudi na nchi ikapewa uhuru mwaka [[1956]].
Utawala wa mwanake [[Hassan II]] kuanzia mwaka [[1961]] uliitwa "miaka ya risasi" kwa sababu mfalme alikataa kukubali utaratibu wa kidemokrasia. Uchaguzi zilikuwa za uwongo wapinzani wakatupwa jela au kuuawa. Hassan II alishinda majaribio mbalimbali za kumpindua. Siasa ya kushikamana na [[Marekani]] ilimsaidia mfalme kimataifa lakini baada ya mwisho wa "[[vita baridi]]" alilazimishwa na Wamarekani kulegea utawala wake.▼
▲Utawala wa
Mtoto wake [[Muhamad VI]] akawa mfalme kijana [[1999]] akaanza matengenezo ya kisiasa ya wazi zaidi.▼
▲[[Mtoto]] wake [[Muhamad VI]] akawa mfalme [[kijana]] mwaka [[1999]] akaanza
{{Afrika}}▼
Mnamo 60 % (Januari [[2005]]) za wakazi [[milioni]] 32.7 huishi mijini.
▲
▲Kaskazini
▲=== Lugha ===
▲[[Lugha rasmi]] ya nchi ni [[Kiarabu]] na [[Kiberberi]]. Waberber wengi, hasa kaskazini,
=== Dini ===
▲Walio wengi sana (99%) ni [[Waislamu]] [[Wasunni]], wengine ni [[Wayahudi]] na [[Wakristo]].
▲Wayahudi waliwahi kuwa wengi kidogo, lakini idadi yao imepungua katika miaka ya nyuma kutokana na
==Viungo vya nje==
{{Commons|Morocco|Moroko}}
*[http://www.maroc.ma/PortailInst/An/ Official website of the government of Morocco]
*[http://www.sgg.gov.ma/ Official bulletins of the government of Morocco]
*[http://www.parlement.ma/ Parliament of Morocco]
*[http://www.lavieeco.com/documents_officiels/Recensement%20population.pdf Census results of 1994 and 2004]
*[http://www.press-maroc.com/ Forum press Morocco]
*{{CIA World Factbook link|mo|Morocco}}
*{{dmoz|Regional/Africa/Morocco}}
*[http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14121438 Morocco profile] from the [[BBC News]]
*[http://www.marocparadise.com/ Maroc Paradise, Beauty of Morocco]
*{{Wikiatlas|Morocco}}
*[http://moroccan.tribes.free.fr/ Tribes of Morocco]
*[http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=MA Key Development Forecasts for Morocco] from [[International Futures]]
*[http://www.enpi-info.eu/countrymed.php?country=6 EU Neighbourhood Info Centre: Morocco]
*[http://wits.worldbank.org/CountryProfile/Country/MAR/Year/2012/Summary World Bank Summary Trade Statistics Morocco]
▲{{Afrika}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Moroko| ]]
|