Moroko : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata)
No edit summary
Mstari 1:
{{Infobox_Country|
native_name = المملكة المغربية<br />''Al Mamlakah al Maghribīyah''<br/>ⵜⴰⴳⵍⴷⵉⵜ ⵏ ⵍⵎⴰⵖⵔⵉⴱ<br />''Tagldit N'Lmaġrib'' |
conventional_long_name = Ufalme wa Moroko |
common_name = Moroko |
Mstari 8:
national_motto = الله، الوطن،الملك<br />(Allāh, al Waţan, al Malik = Mungu, Taifa, Mfalme)|
national_anthem = [[Wimbo la Sharifa]] |
official_languages = [[Kiarabu]] | [[Kiberberi]] |
capital = [[Rabat]] |
latd=34|latm=02|latNS=Kas|longd=6|longm=51|longEW=Magh|
Mstari 14:
government_type= [[Ufalme wa kikatiba]] |
leader_titles = [[Mfalme wa Moroko|Mfalme]]<br />[[Waziri Mkuu wa Morocco|Waziri Mkuu]] |
leader_names = [[MohammadMuhammad VI wa Moroko|MohammadMuhammad VI]] <br /> [[DrissAbdelilah JettouBenkirane]] |
area_rank = ya 5658 |
area_magnitude = 1_E10 |
area= 446,550 |
areami²= 172,414487 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->|
percent_water = Kidogo sana0.056 |
population_estimate = 3233,725848,847 242 |
population_estimate_year = Julai 20052014 |
population_estimate_rank = ya 3639 |
population_census=|
population_census_year=|
population_density = 6673.81 |
population_densitymi² =173189.03 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->|
population_density_rank=96 122|
GDP_PPP_year= 2005 |
GDP_PPP = $139.5 billion<!--cia.gov --> |
Mstari 51:
footnotes = Namba zote bila Sahara ya Magharibi
}}
[[Picha:Map of Morocco from CIA World Factbook.png|thumb|leftright|250px|[[Ramani]] ya Moroko - [[mpaka]] wa [[kusini]] haueleweki kimataifa]]
'''Moroko''' (kwa [[Kiarabu]] المغرب), au kirefu Ufalme wa Moroko (المملكة المغربية al-mamlaka al-maghribiya yaani "ufalme wa [[magharibi]]") ni nchi ya [[Afrika ya Kaskazini]]-Magharibi.
 
'''Moroko''' (المغرب), (Ufalme wa Moroko ([[Kiarabu]]: المملكة المغربية al-mamlaka al-maghribiya "ufalme wa magharibi") ni nchi ya [[Afrika ya Kaskazini]]-Magharibi. Jina la "Moroko" limetokana na mji mkuu wa kale [[Marakesh]]. Imepakana na [[bahari]] za [[Atlantiki]] na [[Mediteranea]]; baraniupande wa [[bara]] imepakana na [[Algeria]] na [[Mauretania]].
 
Maeneo ya [[Hispania|Kihispania]] ya [[Ceuta]] na [[Melilla]] niyanazungukwa ndani ya eneo lana Moroko kwenye pwani laya Mediteranea.
 
Mpaka wa kusini haueleweki vizuri kwa sababu Moroko inadai ya kwamba [[Sahara ya Magharibi]] ni sehemu ya eneo lake, hali isiyokubaliwa na jumuiya ya kimataifa tangu Moroko ilivamiailipovamia Sahara ya Kusini mwaka [[1975]].
 
==Jina==
Jina la "Moroko" limetokana na [[mji mkuu]] wa kale [[Marakesh]].
 
== Jiografia ==
[[Picha:Marokko von Spanien-5.jpg|thumbnail|left|Pwani laya Moroko jinsi inavyoonekana kutoka [[Hispania]] kupitia [[mlango wa bahari]] wa [[Gibraltar]].]]
Eneo la Moroko ni [[km²]] 446,550&nbsp;km². Sehemu kubwa ni [[jangwa]] la [[Sahara]]. Watu walio wengi huishi kwenye sehemu za rutba[[rutuba]] karibu na pwani.
 
Kuna milima inayofunika maeneo makubwa. Milima ya [[Rif]] inaongozana na pwani la Mediteranea yenye mwelekeo kutoka kaskazini-magharibi kwenda kazkazini-mashariki. Milima ya [[Atlas]] iko katikati ya nchi kutoka kusini-magharibi kwenda kaskazini-mashariki.
 
== Wakazi ==
Mnamo 60 % (Januari 2005) za wakazi milioni 32.7 huishi mjini. Kiasili wakazi wengi ni [[Waberber]] na [[Waarabu]], pamoja watu wa asili ya [[Andalusia]] (Hispania) na wa [[Afrika]] kusini ya Sahara. Waberber ndio wenyeji asilia.
 
Kuna [[milima]] inayofunika maeneo makubwa. Milima ya [[Rif]] inaongozana na pwani laya Mediteranea yenye mwelekeo kutoka kaskazini-magharibi kwenda kazkazinikaskazini-mashariki. Milima ya [[Atlas]] iko katikati ya nchi kutoka kusini-magharibi kwenda kaskazini-mashariki.
Kaskazini ya nchi ambayo kitovu chake ni [[Fes]] ina zaidi tabia ya Kiarabu, kusini ambayo kitovu chake ni Marakesh zaidi ya Kiberber.
 
Walio wengi sana (99%) ni [[Waislamu]] [[Wasunni]], wengine [[Wayahudi]] na [[Wakristo]].
 
Wayahudi waliwahi kuwa wengi kidogo lakini idadi yao imepungua katika miaka ya nyuma kutokana na uhamiaji hata kama hali yao katika taifa ni nzuri kulingana na nchi nyingine za Kiarabu. Wakristo karibu wote ni wa asili ya Kiulaya.
 
=== Miji mikubwa ===
Mji mkuu ni [[Rabat]] mwenyewenye wakazi milioni 1.2. [[Mji mkubwa]] ni [[Casablanca]] (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya badari[[bandari]].
[[Picha:Marokko von Spanien-5.jpg|thumbnail|left|Pwani la Moroko jinsi inavyoonekana kutoka [[Hispania]] kupitia mlango wa bahari wa [[Gibraltar]]]]
 
 
Miji mitano mikubwa ni kama ifuatayoifuatavyo (namba za [[sensa]] ya mwaka [[2004]]):
* 1. [[Casablanca]]: wakazi 2.933.684
* 2. [[Rabat]]: wakazi 1.622.860
Line 83 ⟶ 79:
* 4. [[Marakesh]]: wakazi 823.154
* 5. [[Agadir]]: wakazi 678.596
 
=== Lugha ===
Lugha rasmi ya nchi ni [[Kiarabu]]. Waberber wengi hasa kaskazini waliacha lugha yao na kutumia Kiarabu alkini walileta maneno yao katika lahaja ya Kiarabu cha Kimaroko.
 
== Historia ==
Line 91 ⟶ 84:
 
=== Moroko ya Kale ===
Habari za kimaandishi yaza kwanza ni kutoka [[karne]] za kwanza [[KK]]. [[Wafinisia]] walijenga miji yao pwani lakini eneo la ndani ilikuwalilikuwa nchi ya [[Waberber]] waliounda [[ufalme wa Mauretania]] ya Kale.
 
Kaskazini yamwa nchi ikawakukawa jimbo la Kiroma la "[[Mauretania Tingitana]]". IkaonaBaadaye baadayekukawa na [[uvamizi]] wa [[Wavandali]].
 
=== Uvamizi wa Kiarabu ===
[[Karne ya saba7]] [[BK]] ilileta uvamizi wa [[Waarabu]] walioteka nchi na kusababisha polepole Waberber kuwa Waislamu polepole. Wakati wa [[milki]] ya [[khalifa]] ya Kiabasiya, [[Idris ibn Abdallah]] ([[788]]-[[791]]) alikusanya makabilama[[kabila]] ya Waberber na kuunda milki ya kujitegemea. Hii ilikuwa mwanzo wa MarokoMoroko kuwa milki ya Kiislamu ya kujitawalainayojitawala.
 
=== Murabitun na Muwahidun ===
[[Wafalme]] wa [[Wamurabitun]] (Almoravi) ([[1073]]-[[1147]]) na wa [[Wamuwahidun]] (Almohad) ([[1147]]-[[1269]]) walieneza [[utawala]] wao hadi [[Afrika ya Magharibi]] na juu ya sehemu kubwa ya [[Andalusia]] ([[Hispania]]), hata hadi mipaka ya [[Misri]].
 
[[Athira]] ya milki ya Moroko ilipungua baadaye hadi [[Hispania]] yote imerudishwaikarudishwa kwa watawala wakristo[[Wakristo]] mwaka [[1492]]; pia utawala kusini yakwa [[Sahara]] haukuendelea.

[[Wareno]] wa [[Wahispania]] waliendelea kuteka miji kwenye pwani za Moroko. Utawala wa Hispania juu ya [[Ceuta]] na [[Melilla]] leo ni mabaki ya nyakati zile.

Sehemu za nchi zilianza kujitawala bila kukubali tena mamlaka wa juu, kwa mfano makabila ya Waberber milimani au miji ya Rabat na [[Sale (mji)|Sale]] iliyounda dola ndogodogo la [[Jamhuri ya Bou Regreg]] katika [[karne ya 17]] BK na kujishughulisha na [[uharamia]].
 
=== Waalawi ([[1666]] hadi leo) ===
Katika [[karne ya 17]] [[familia]] ya Waalawi walishika mamlaka wakaendelea nayo hadi leo. Waliweza kutunza [[uhuru]] wa nchi hadi mwanzo wa [[karne ya 20]] BK. Lakini mwanzo wa karne ya 20 [[Ufaransa]] na [[Hispania]] walimlazimisha [[mfalme]] [[Mulay Abdelaziz]] kukubali [[mkataba]] uliofanya Moroko kuwa kama [[koloni]] chini ya nchi hizo mbili.
 
[[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] ilidhoofisha Ufaransa pamoja na kuingia kwa [[wanajeshi]] [[Waamerika]] na [[Waingereza]] na [[ahadi]] zao za kuleta uhuru tokeo lililohamasisha [[wazalendo]] wa Maroko kupigania upya uhuru wa nchi. Baada ya vita Wafaransa walijaribu kukandamiza mwendo huo wakamwondoa Sultani [[Mohammed V]] nchini [[1953]]. Ghasia ikaongezeka, Sultani Muhammad V akarudi nchi ikapewa uhuri mwaka 1956.
 
Baada ya [[vita]] Wafaransa walijaribu kukandamiza mwendo huo wakamwondoa [[Sultani]] [[Mohammed V]] nchini [[1953]]. [[Ghasia]] zikaongezeka, Sultani akarudi na nchi ikapewa uhuru mwaka [[1956]].
Utawala wa mwanake [[Hassan II]] kuanzia mwaka [[1961]] uliitwa "miaka ya risasi" kwa sababu mfalme alikataa kukubali utaratibu wa kidemokrasia. Uchaguzi zilikuwa za uwongo wapinzani wakatupwa jela au kuuawa. Hassan II alishinda majaribio mbalimbali za kumpindua. Siasa ya kushikamana na [[Marekani]] ilimsaidia mfalme kimataifa lakini baada ya mwisho wa "[[vita baridi]]" alilazimishwa na Wamarekani kulegea utawala wake.
 
Utawala wa mwanakemwanae [[Hassan II]] kuanzia mwaka [[1961]] uliitwa "miaka ya risasi" kwa sababu mfalme alikataa kukubali utaratibu wa kidemokrasiaki[[demokrasia]]. [[Uchaguzi|Chaguzi]] zilikuwa za [[uwongo]], [[wapinzani]] wakatupwa [[jela]] au kuuawa. Hassan II alishinda majaribio mbalimbali zaya kumpindua. [[Siasa]] ya kushikamana na [[Marekani]] ilimsaidia mfalme kimataifa lakini baada ya mwisho wa "[[vita baridi]]" alilazimishwa na Wamarekani kulegeakulegeza utawala wake.
Mtoto wake [[Muhamad VI]] akawa mfalme kijana [[1999]] akaanza matengenezo ya kisiasa ya wazi zaidi.
 
[[Mtoto]] wake [[Muhamad VI]] akawa mfalme [[kijana]] mwaka [[1999]] akaanza matengenezomageuzi ya kisiasa ya wazi zaidi.
{{Afrika}}
 
== WakaziWatu ==
Mnamo 60 % (Januari [[2005]]) za wakazi [[milioni]] 32.7 huishi mijini.
 
Mnamo 60 % (Januari 2005) za wakazi milioni 32.7 huishi mjini. Kiasili wakazi wengi ni [[Waberber]] na [[Waarabu]], pamoja na watu wa asili ya [[Andalusia]] (Hispania) na wa [[Afrika]] [[kusini yakwa Sahara]]. Waberber ndio wenyeji asilia.
 
Kaskazini yamwa nchi ambayoambako [[kitovu]] chake ni [[Fes]] inakuna zaidi [[tabia]] ya Kiarabu, wakatu kusini ambayoambako kitovu chake ni Marakesh zaidikuna tabia ya Kiberber zaidi.
 
=== Lugha ===
[[Lugha rasmi]] ya nchi ni [[Kiarabu]] na [[Kiberberi]]. Waberber wengi, hasa kaskazini, waliachawameacha lugha yao na kutumia Kiarabu alkinilakini walileta maneno yao katika [[lahaja]] ya Kiarabu cha Kimaroko. Hata [[Kifaransa]] kinatumika sana.
 
=== Dini ===
Walio wengi sana (99%) ni [[Waislamu]] [[Wasunni]], wengine ni [[Wayahudi]] na [[Wakristo]].
 
Wayahudi waliwahi kuwa wengi kidogo, lakini idadi yao imepungua katika miaka ya nyuma kutokana na uhamiaji[[uhamaji]] hata kama hali yao katika [[taifa]] ni nzuri kulingana na nchi nyingine za Kiarabu. Wakristo karibu wote ni wa asili ya Kiulaya[[Ulaya]].
 
==Viungo vya nje==
{{Commons|Morocco|Moroko}}
*[http://www.maroc.ma/PortailInst/An/ Official website of the government of Morocco]
*[http://www.sgg.gov.ma/ Official bulletins of the government of Morocco]
*[http://www.parlement.ma/ Parliament of Morocco]
*[http://www.lavieeco.com/documents_officiels/Recensement%20population.pdf Census results of 1994 and 2004]
*[http://www.press-maroc.com/ Forum press Morocco]
*{{CIA World Factbook link|mo|Morocco}}
*{{dmoz|Regional/Africa/Morocco}}
*[http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14121438 Morocco profile] from the [[BBC News]]
*[http://www.marocparadise.com/ Maroc Paradise, Beauty of Morocco]
*{{Wikiatlas|Morocco}}
*[http://moroccan.tribes.free.fr/ Tribes of Morocco]
*[http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=MA Key Development Forecasts for Morocco] from [[International Futures]]
*[http://www.enpi-info.eu/countrymed.php?country=6 EU Neighbourhood Info Centre: Morocco]
*[http://wits.worldbank.org/CountryProfile/Country/MAR/Year/2012/Summary World Bank Summary Trade Statistics Morocco]
 
{{Afrika}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
 
[[Jamii:Moroko| ]]