Atomu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Tovuti za Nje: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|bg}} (6) using AWB (10903)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Atom.png|thumb|Mfumo wa atomi kwa mfano wa atomi ya [[Heli]]: [[Elektroni]] mbili (njano) kwenye mzingo wa atomi huzunguka [[kiini cha atomi]] chenye [[Protoni]] mbili (nyekundu) na [[Neutroni]] mbili (kijani).]]
 
'''Atomi''' (pia: '''atomu'''; kutoka [[kigiriki]] '''ἄτομος''' ''átomos''means "yasiyogawiwaindivisible") ni sehemu ndogo ya [[maada]] yenye tabia ya kikemia kama [[elementi]]. Kila kitu duniani hujengwa kwa atomi. Atomi ni ndogo kiasi ya kwamba hazionekani kwa macho hata hazionekani kwa [[hadubini]] za kawaida. Kuna aina nyingi za atomi na idadi za aina hizi tofauti ni sawa na elementi zilizopo duniani.
 
atom imegawanyika katika sub atomic 3 ambazo ni proton,elecron na neutron.Lakini atomi yenyewe hufanywa na vyembe vidogo zaidi hasa [[protoni]], [[neutroni]] na [[elektroni]]. Sehemu hizi ndogo zaidi hazina tabia ya elementi fulani ila tu atomi yote ni elementi. Atomi zinatofautiana kutokana na idadi tofauti ya vyembe hivi vidogo ndani yao.
 
== Muundo wa atomi ==
Atomi ni ndogo kiasi ya kwamba hazionekani. Kwa sababu hiyo wataalamu waliunda vielelezo mbalimbali vinavyojaribu kuunganisha tabia mbalimbali za atomi zinazopimiwa.
 
Kielelezo cha [[Ernest Rutherford]] kinasema ya kwamba kwamba katikati ya atomi kuna kiini chenye sehemu kubwa ya maada ya atomi yote. [[Kiini cha atomi]] hufanywa na [[protoni]] na [[neutroni]]. Atomi za elementi ileile zinaweza kutofautiana katika idadi ya nyutronineutron ndani ya kiini na hali hizi tofauti huitwa [[isotopi]ISOTOPY] za elementi. IsotopiIsotopy tofauti ya elementi moja zinapangwa kwenye nafasi ileile ya [[jedwali la elementi]]. IsotopiIsotopy kadhaa si thabiti lakini [[nururifu]] yaani zinaweza kutoa vyembe au nururisho na kuhamia elementi nyingine.
 
Kiini huzungukwa na ganda ambalo ni si dutu imara lakini nafasi ya njia ambako elektronielectron huzunguka kiini. Nafasi hizi huitwa [[mizingocicumference of elektroni]electroni]. Kielezo hiki kimekuwa msingi wa vielelezo vingine kama kile cha Bohr.
 
Kiini huitwa kwa lugha ya [[Kilatini]] (pia kwa [[Kiingereza]]) "nucleus" na hapa lugha ya Kiswahili imepokea neno "nyuklia" kutoka ing. "nuclearNucleas" kwa ajili ya mambo yanayohusu matumizi ya nguvu ya atomi, kwa mfano [[nishati ya nyuklia]].
 
== Chaji na ioni ==