Udikteta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 17:
=== Sheria na Haki za binadamu ===
Kila nchi inahitaji sheria na pia udikteta hauwezi
Mara nyingi uhuru na haki za wananchi zimepungukiwa sana au kuondolewa kabisa kwenye mfumo wa udikteta. Tabia muhimu ya demokrasia ni uhuru wa [[mahakama]]. Katika udikteta serikali inateua mahakimu na kuingilia kati katika maazimio ya kesi. Kama kesi inaangaliwa na serikali ni kawaida ya kwamba hukumu huamuliwa nje ya mahakama.
|