Atomu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Atom.png|thumb|Mfumo wa atomi kwa mfano wa atomi ya [[Heli]]: [[Elektroni]] mbili (njano) kwenye mzingo wa atomi huzunguka [[kiini cha atomi]] chenye [[Protoni]] mbili (nyekundu) na [[Neutroni]] mbili (kijani).]]
'''Atomi''' (pia
atom imegawanyika katika sub atomic 3 ambazo ni proton,
Atomi ni ndogo kiasi ya kwamba hazionekani. Kwa sababu hiyo wataalamu waliunda vielelezo mbalimbali vinavyojaribu kuunganisha tabia mbalimbali za atomi zinazopimiwa.
Mstari 11:
Kiini huzungukwa na ganda ambalo ni si dutu imara lakini nafasi ya njia ambako electron huzunguka kiini. Nafasi hizi huitwa [cicumference of electroni]. Kielezo hiki kimekuwa msingi wa vielelezo vingine kama kile cha Bohr.
Kiini huitwa kwa lugha ya [Kilatini] (pia kwa Kiingereza) "nucleus" na hapa lugha ya Kiswahili imepokea neno "nyuklia"."Nucleas" kwa ajili ya mambo yanayohusu matumizi ya nguvu ya atomi, kwa mfano
== Chaji na ioni ==▼
Protoni zina chaji ya chanja, neutroni hazina chaji na elektroni zina chaji ya hasi. Kiini inafanywa na protoni zenye chaji chanja pamoja na neutroni zisizo na chaji hivyo kiini cha kila atomi kina chaji chanja. Elektroni zenye chaji hasi zazunguka kiini.▼
▲Protoni zina chaji ya
Kwa jumla chaji hizo husawazishana na atomi yote ni batili yaani haionyeshi chaji maalumu.
Atomi inaweza kuingia katika hali ya kuwa na chaji kama elektroni moja inaongezwa au kuondolewa katika ganda lake halafu atomi hiyo huitwa "
Kama idadi ya elektroni imepungua chini ya kiwango cha kawaida atomi yote ina chaji
Njia za elektron
▲Atomi inaweza kuingia katika hali ya kuwa na chaji kama elektroni moja inaongezwa au kuondolewa katika ganda lake halafu atomi hiyo huitwa "[[ioni]]".
▲Kama idadi ya elektroni imepungua chini ya kiwango cha kawaida atomi yote ina chaji chanja na kuitwa "[[kationi]]". Kama elektroni imeongezwa chaji ya atomi yote huwa hasi na kuitwa "[[anioni]]".
Kufuatana na kielezo cha [[Niels Bohr]] kiini huzungukwa na [[mizingo elektroni]] mbalimbali kama kitunguu. Idadi ya mizingo hutegemeana na idadi ya elektroni au ukubwa wa atomi kwa jumla.
Ukubwa wa atomi yote hutegemeana na umbali wa mzingo elektroni wa nje. Ieleweke ya kwamba mizingo hii yote si dutu au mada lakini nafasi ambako elektroni zazunguka kiini kwa mkasi mkubwa.
|