Chama cha Mapinduzi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Chama cha Mapinduzi''' (CCM) ni [[chama tawala]] nchini [[Tanzania]].
CCM ilizaliwa tarehe [[5 Februari]] [[1977]] baada ya kuungana kwa vyama vya [[Tanganyika African National Union]] (TANU) kilichokuwa kikitawala [[Tanzania Bara]] na [[Afro-Shirazi Party]] (ASP) kilichokuwa chama tawala cha [[Zanzibar]] wakati huo. Chama cha == Itikadi ==
[[File:CCM stronghold in rural Tanzania.jpg|thumb|CCM kina wafuasi wengi vijijini.]]
Kwa miaka mingi CCM ilikuwa ikifuata [[siasa]] ya [[Ujamaa na Kujitegemea]]. [[Itikadi]] hii ilipewa nguvu za kisera mwaka [[1967]] lilipotangazwa [[Azimio la Arusha]].
Kutokana na [[azimio]] hilo [[uchumi]] uliwekwa mikononi mwa [[umma]]. Itikadi == Uchaguzi ==
CCM imekuwa ikishinda [[Uchaguzi|chaguzi]] za [[Urais]] toka [[mfumo wa vyama vingi]] uliporejeshwa nchini Tanzania. Chama hicho kimekuwa pia kikipata [[idadi]] kubwa ya [[wabunge]] wa [[Bunge la Muungano]] na [[Baraza la Wawakilishi]].
▲= CCM imekuwa ikishinda chaguzi za Urais toka mfumo wa vyama vingi uliporejeshwa nchini Tanzania. Chama hicho kimekuwa pia kikipata idadi kubwa ya wabunge wa [[Bunge la Muungano]] na [[Baraza la Wawakilishi]]. Chaguzi za vyama vingi Tanzania baada ya kurejeshwa kwa mfumo huo zilifanyika mwaka 1995, 2000, 2005 na 2010.na viongozi walio weza kuwa washindi kakati chama hicho ni kama wafatao Mh.William benjamini mkapa na Jakaya M Kikwete.hawa ndio viongozi waliongoza nchi kipindi cha miaka ishirini. =
Katika historia ya CCM kumekuwa na wenyeviti wanne:
* [[Julius Nyerere]], 1977 - 1990,
* [[Ali Hassan Mwinyi]] 1990 - 1996
* [[Benjamin Mkapa]] 1995 - 2005,
* [[Jakaya Kikwete]] 2006 -
== Viungo vya nje ==
|