Majadiliano ya Wikipedia:Mradi wa Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
{{Majadiliano|search=y}}
== KUWEPO KWA IDADI KUBWA YA WATU WASIOJUA KUSOMA NA KUANDIKA. ==
Katika kata yetu ya Mwembe inakabiliwa na kuwepo na idadi kubwa ya watu wasiojua kusoma na kuandika.Je mradi una lengo gani katika kutokomeza hali hii? Na pia kuna upungufu wa huduma za kijamii nyingi kama Maji,Upungufu wa wataalamu katika vituo vya Afya ni upi mtazamo wa mradi kwa haya?
|