Seli : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Muundo wa seli: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|es}} (5) using AWB (10903)
No edit summary
Mstari 10:
* [[utando wa seli]] (ganda la nje) na
* [[Utegili (seli)|utegili]] unaojaza chumba ndani ya utando. Ndani ya utegili kuna sehemu nyingine zenye kazi mbalimbali kama [[ribosomu]] au [[dutuvuo]] (mitokondria), .
 
== Aina za seli ==
Kuna aina kuu mbili za seli, nazo ni
* '''Seli ya mnyama''' ni aina ya seli ambazo zinapatikana kwenye miili ya [[wanyama]] wote kama vile Binadamu n.k.
* '''Seli ya mmea''' ni aina ya seli zinazopatikana kwenye [[mimea]] yote kama vile Miti n.k.
 
Licha ya kuwa katika sehemu tofauti za [[viumbe hai]], seli hizi zinafanana baadhi ya vitu na kutofautiana pia. Baadhi ya vitu ambavyo vipo kwenye seli ya mnyama na seli ya mmea ni pamoja na:
*Zote zina kiini cha seli
*Zote zina utando wa seli
*Zote zina utegili
 
Tofauti kati ya seli ya [[mnyama]] na seli ya [[mmea]] ni pamoja na: