Mkoa wa Iringa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d fixing dead links |
No edit summary |
||
Mstari 3:
[[Image:Iringa_Regionen.png|right|260px|thumb|Wilaya za Mkoa wa Iringa na mikoa jirani]]
'''Mkoa wa Iringa''' ni moja kati ya mikoa 26 za [[Tanzania]]. Umepakana na mikoa ya jirani ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]], [[Mkoa wa Ruvuma|Ruvuma]], [[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]], [[Mkoa wa Singida|Singida]] na [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]].
==Jiografia==
Mkoa wa Iringa uko katika Nyanda za Juu za Kusini mwa Tanzania. Mkoa huu unapakana na ukanda mkavu wa kati wa Tanzania katika upande wa kaskazini na kupakana kusini na Ziwa Nyasa. Mkoa wa Iringa umetanda kati ya latitudo 7º 05˝ na 12º 32˝ kusini, na longitude 33º 47˝ hadi 36º 32˝ mashariki mwa Meridian. [[Ziwa Nyasa]] linatenganisha Mkoa wa Iringa na nchi ya Malawi upande wa kusini Magharibi mwa Tanzania.
Hadi mwaka 2012 Mkoa wa Iringa
Tangu mwaka 2012 maeneo ya [[Mkoa wa Njombe]] yalitengwa na Iringa na kuwa mkoa mpya kwa hiyo eneo la Iringa limepungua kilomita za mraba 21,347.
==Wakazi==
Mwaka
Makao makuu yako [[Iringa (mji)|Iringa mjini]].
|