Nyang'oro : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Nyang'oro ''' ni [[jina]] la [[kata]] ya [[tarafa ya Ismani]] [[Wilaya ya Iringa Vijijini]] katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Wakati wa
Ni eneo maarufu kwa [[kilimo]] hasa cha [[mahindi]], ingawa ardhi imechoka kutokana na matumizi makubwa, hasa katika [[miaka ya 1950]] na [[miaka ya 1960|1960]], Ismani peke yake ilipokuwa inaweza kuzalisha kuliko Tanzania nzima.
Siku hizi [[barabara]] inayopita kijijini ikiunganisha [[Iringa]] na [[Dodoma]], hivyo pia [[Cape Town]] na [[Kairo]], imetiwa [[lami]].
{{Kata za Wilaya ya Iringa Vijijini}}
{{mbegu-jio-iringa}}
==Marejeo==
{{marejeo}}
[[Jamii:Wilaya ya Iringa Vijijini]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
|