Maafa asilia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Maafa asilia''' ni tukio linalosababisha mabadiliko kwenye uso wa ardhi au angahewa ya dunia yanayoleta hasara kubwa kwa mali na maisha ya binadamu, na sabab...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Maafa asilia''' ni tukio linalosababisha mabadiliko kwenye uso wa ardhi au [[angahewa]] ya [[dunia]] yanayoleta hasara kubwa kwa [[mali]] na maisha ya [[binadamu]], na sababu zake ni za kiasili. Mifano yake ni [[tetemeko la ardhi]], [[banguko]], [[kimbunga]], [[mafuriko]], [[tsunami]] au [[mlipuko wa volkeno]]. Matukio hayahayo yote si maafa kwa lazima maana yakitokea mahali pasipo na wanadamu na kutosababisha hasara kwa watu basi hayaitwi "maafa".
 
==Maafa ya asili na maafa yaliyosababishwa na binadamu==
Kuna maafa mbalimbali yanayosabishwayanayosababishwa na binadamu:
*Kwa jumla ni [[vita]] na [[uaji|mauaji]] ya vikundi fulani zilizosabisha [[Kifo|vifo]] vingi
*[[ajali]] na milipuko katika [[viwanda]] vikubwa na [[ghala]] za [[baruti]] vinaweza kuua watu na kusumisha mazingira, kwa mfano [[maafa ya kikemia ya Bhopal]] nchini [[Uhindi]] (vifo 20,000)
*Mafuriko hutokea kutokana na kuziba njia asilia za [[mito]] na [[ujenzi]] wa [[nyumba]] katika maeneo haya ambako watu hupata hasara kama nyumba zao zinaharibika
* maafa kutokana na ajali wakati wa kusafirisha [[kemikali]], [[mafuta]] au baruti
* maafa ya mazingira ambako kemikali [[sumu]] au mafuta zinasambaa (k.m. [[mlipuko wa BP Deepwater Horizon]] kwenye [[ghuba laya Meksiko]] mwaka [[2010]].
* maafa ya [[nyuklia]] ambako [[vituo vya nyuklia]] vinaharibika, kwa mfano maafa ya [[Chernobyl]] ([[Ukraine]], mwaka [[1986]]) au maafa ya [[Fukushima]] (Ukraine, mwaka 1986) na Fukushima ([[Japani]], mwaka [[2011]])
 
Mara nyingi ni matendo ya kibinadamubinadamu yanayofanya tukio la kiasili kuwa maafa makubwa kwa mfano ujenzi wa makazi katika mazingira ya [[volkeno]] hai (mfano: mji wa [[Napoli]], [[Italia]] kando laya [[Vesuvio]]) au penye mipaka ya [[mabamba ya gandunia]] inayojulikana kama vile [[Los Angeles]], Marekani.
 
==[[Tetemeko la ardhi]]==
Mstari 24:
==[[Mlipuko wa volkeno]]==
 
{{mbegu}}
 
 
 
[[Jamii:Maafa asilia]]