Maafa asilia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 13:
==[[Tetemeko la ardhi]]==
[[Tetemeko la ardhi]] (pia: zilizala) ni mishtuko ya ghafla kwenye [[ganda la dunia]]. Likifikia ukali fulani ni hatari hasa kwa majengo. Hatari kwa binadamu hutegemea
Nguvu ya tetemeko la ardhi hupimwa kwenye [[skeli]] ya 0-9 au zaidi<ref>Matetemeko makali yaliyopimwa yalipita kidogo kiwango cha 9; matetemeko makali zaidi yanawezekana lakini hayakupimwa bado</ref>.
Nguvu ya uharibifu unaweza kutofautiana sana. Kwa mfano tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 6.4 liliharibu mji wa Bam, Iran mwaka 2003 na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40,000. Lakini tetemeko huko Northridge, Kalifornia ya mwaka 1994 ilikuwa na nguvu ileile ila tu ni watu 60 waliofariki<ref>[http://earthquake.usgs.gov/earthquakes/states/events/1994_01_17.php Taarifa ya US Geological Survey]</ref>. Tofauti ilikuwa ubora wa majengo katika maneo yaliyohusika. Ilhali takriban wanafunzi 10,000 walifariki, huko Marekani shule zote zilisimama. Athira nyingine ilikuwa hali ya huduma za dharura na muda mahanga yalikaa chini ya kifusi cha majengo.▼
▲Nguvu ya uharibifu
[[Picha:Caraballeda 1999 Deposits and Damage.jpg|thumbnail|Uharibifu baada ya banguko hko Venezuela mwaka 1999]]▼
▲[[Picha:Caraballeda 1999 Deposits and Damage.jpg|thumbnail|Uharibifu baada ya banguko
==[[Banguko]]==
[[Banguko]] ni kiasi kikubwa cha [[mawe]], [[ardhi]], [[theluji]] au [[barafu]] kinachoanza kuteleza kwenye [[mtelemko]] wa [[Mlima|mlimani]] na kuelekea [[bonde|bondeni]]. Banguko unaweza
Banguko kubwa la mwaka 1999 nchini [[Venezuela]] liliharibu nyumba zaidi ya 8,000 na kuua idadi ya watu isiyojulikana lakini imekadiriwa kuwa kati ya watu 10,000 hadi 30,000
==[[Kimbunga]] na [[tufani]]==
[[Tufani]] na [[kimbunga]] ni aina za [[dhoruba]] zenye mwendo wa kuzunguka. Zinatokea hasa katika [[kanda la tropiki]] la [[dunia]]. Zinaleta [[upepo]] mkali mno pamoja na kiasi kikubwa cha mvua. Zinaweza kubomoa nyumba, kuvuta watu na hata [[gari|magari]] [[hewa|hewani]] na kuleta mafuriko makali.
[[Tufani ya Katrina]] ya mwaka [[2005]] iliharibu mji wa [[New Orleans]] huko Marekani, ikasabisha vifo zaidi ya
==[[Mafuriko]]==
==[[Tsunami]]==
[[Tsunami]] ni [[wimbi]] kubwa sana katika [[bahari]] inayosababishwa na [[tetemeko la ardhi]], mlipuko wa volkeno au matokeo mengine yanayoleta mshtuko wa ghafla chini ya maji. Mshtuko
Tsunami inaweza kutokea pia baada ya banguko la mtelemko mkubwa kwenye pwani
Tsunami zimewahi kutokea mara nyingi duniani. Kati ya taarifa za kwanza zilizotambua uhusiano kati ya tetemeko la ardhi na tsunami ni mwandishi [[Thukidides]] wa [[Ugiriki ya Kale]]
Tsunami kubwa
==[[Mlipuko wa volkeno]]==
[[Picha:Lava flow at Krafla, 1984.jpg|thumbnail|Mwendo wa lava kutoka shimo la
[[Mlipuko wa volkeno]] ni kutokea vikali kwa [[lava]] na [[gesi]] kutoka ndani ya [[ganda la dunia]]. [[Volkeno]] hupatikana pale ambako vipande vya ganda la dunia vinaachana au kusukumana. Kuna pengo ambako [[magma]] joto kutoka ndani ya dunia inapanda juu kufika usoni.
Hii inaweza kutokea polepole lakini ikitokea kwa ghafla inaleta maafa katika mazingira
Milipuko ya volkeno mbalimbali zinaweza kutofautiana
*Kuna milipuko mikali inayorusha kiasi kikubwa cha [[mwamba wa joto]] katika umbali
*kuna milipuko inayorusha [[majivu]] ya moto inayofunika kila kitu na kuganda kuwa [[mwamba]] tena.
*kuna milipuko ambako [[mto wa lava]]
*kuna [[gesi za sumu]] zinazotoka nje na kuua kila [[uhai]] kwenye njia yake.
*nguvu ya mlipuko inaweza kurusha miamba yenye kiasi cha [[kilomita za ujazo]] katika mazingira ya volkeno na kubadilisha uso wa dunia; mfano ni mlipuko wa [[mlima Krakatau]]
==Mgongano wa gimba la angani==
Line 58 ⟶ 60:
<references/>
==
{{Wikiquote|Natural disasters}}
* {{cite web
|