Masokwe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho |
|||
Mstari 20:
'''Masokwe''' ni [[mnyama|wanyama]] wa [[familia ya juu]] [[Hominoidea]]. Kuna [[familia (biolojia)|familia]] mbili za masokwe: [[Hylobatidae]] ([[sokwe mdogo|masokwe wadogo]] au [[giboni]]) na [[Hominidae]] ([[sokwe mkubwa|masokwe wakubwa]] na [[binadamu]]). Masokwe wadogo huishi daima mitini na huteremka kwa nadra. Wana mikono mirefu ili kining'inia kutoka tawi moja hadi jingine na kutoka mti mmoja hadi mwingine. Wanatokea [[msitu|misitu]] ya [[tropiki]] ya [[Asia]]. Masokwe wakubwa hupitisha muda pengine mrefu ardhini, [[orangutanu]] muda kidogo tu na [[ngagi]] muda mrefu sana. Takriban [[spishi]] zote zinatokea [[Afrika]] lakini orangutanu wanatokea [[Asia]] ya Mashariki.
==
Familia ya juu [[Hominoidea]] ([[Sokwe (Hominoidea)|
* Familia [[
** Jenasi ''[[
** Jenasi ''[[Hoolock]]'' ([[w:Hoolock gibbon|Hoolock gibbon]])
** Jenasi ''[[Nomascus]]'' ([[w:Nomascus|Nomascus]])
Mstari 29:
* Familia [[Hominidae]] (Masokwe wakubwa)
** Nusufamilia [[Ponginae]] ([[w:Ponginae|Ponginae]])
*** Jenasi ''[[
** Nusufamilia [[Homininae]] ([[w:Homininae|Homininae]])
*** Kabila [[Gorillini]] ([[w:Gorillini|Gorillini]])
**** Jenasi ''[[
*** Kabila [[Hominini]] ([[w:Hominini|Hominini]])
**** Jenasi [[
**** Jenasi ''[[Homo]]'' ([[Binadamu]] na jamaa)
|