Tabora (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d fixing dead links
No edit summary
Mstari 17:
 
}}
'''Tabora''' ni mji wa kihistoria ya [[Tanzania]] ya kati na makao makuu ya [[mkoa wa Tabora]]. Eneo lake ni manisipaa na pia wilaya. Mwaka 20022012 palikuwa na wakazi 188226,808999.<ref>[http://web.archive.org/web/20031226140454/http://www.tanzaniawavuti.goweebly.tzcom/censusuploads/census3/districts0/taboraurban7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.htmpdf Sensa ya 20022012, Tabora Region - Igunga District Council]</ref>
 
== Historia ==
Mji ulianzishwa katika nusu ya kwanza ya [[karne ya 19]] na wafanyabiashara Waarabu na Waswahili kutoka [[Zanzibar]]. Waliitumia kama kituo kwenye njia ya biashara kati ya pwani na [[Ziwa Tanganyika]] katika nusu ya kwanza ya [[karne ya 19]]. Biashara kuu ilikuwa ndovu pamoja na watumwa. Tabora walijenga nyumba imara pamoja na ghala za bidhaa kwa ajili ya biashara hii. Familia ya [[Tippu Tip]] ilikuwa kati ya wenye nyumba wa Tabora.
 
Mwaka 1871 jeshi la [[rugaruga]] wa Mtemi Mirambo ilishambulia mji. Ukajengwa upya. Tangu 1890 Wajerumani walianza kufika na baada ya kushinda Wanyamwezi walifanya Tabora kuwa kitovu chao katika [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] ya kati; mji ukawa kituo cha kikosi cha jeshi na pia kikosi cha polisi.
 
Umuhimu wa Tabora ikaongezeka kwa ujenzi wa [[reli ya kati]] iliyounganisha pwani na [[Ziwa Tanganyika]] ikipita Tabora na karahana muhimu ya reli ikawekwa hapa mjini.
 
1916 Tabora ilivamiwa na Wabelgiji waliowafukuza Wajerumani lakini baada ya [[vita kuu ya kwanza ya dunia]] mji ukawa sehemu ya [[Tanganyika]].