Kizazi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kizazi''' ni kundi la watu waliozaliwa takriban wakati wa pamoja na
Kwa lugha nyingine kizazi ni pia watu ndani ya [[familia]] au ukoo ambao wamekuwa [[wazazi]] takriban wakati moja kwa kutofautisha na kizazi cha mababu waliotangulia au kizazi cha viijana kinachofuata.
Kutokana na matumizi haya neno latumiwa pia kwa kutaja kipindi cha miaka kadhaa, mara nyingi miaka 20 au 25.
[[jamii:Utamaduni]]
|