Kampeni za Kivita katika Afrika ya Mashariki (Vita ya Kwanza ya Dunia) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 10:
 
==Awamu la kwanza: 1914-1915==
Katika awamu la kwanza la vita jeshivikosi lavya KijerumaniSchutztruppe lilishambuliavilishambulia [[reli ya Uganda]] na vituo vya mpakani na Kenya. Waingereza walijibu kwa kukusanya walowezi wao katika Kenya bila kufaulu kuwazuia Wajerumani walioteka mji wa [[Taveta]]. Hiyvo Waingereza walichukua askari 12,000 Wahindi na 2 Novemba 1914 walishambulia [[Tanga]]. Lakini askari Waafrika wa jeshi la Kijerumani waliwashinda Tanga na baadaye pia [[Longido]] karibu na [[mlima Kilimanjaro]], wengine huko [[Yassini]].
[[picha:Battle of tanga.jpg|thumb|250px|Mapigano ya Tanga]]
Hapo Waingereza waliamua kuchukua wanajeshi Wazungu kutoka Afrika Kusini chini ya amri wa jenerali [[Jan Smuts]] waliofika Kenya hadi mwisho wa 1915. Wakati huohuo Wabelgiji walipanga pamoja na Uingereza kupeleka vikosi vya jeshi lake Force Publique katika Kongo mpakani wa magharibi.