Mapokeo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 9:
Wazo hilo linatumika pia katika [[siasa]], [[falsafa]] na [[dini]], k.mf. kwa kwenda kinyume cha [[usasa]].
==Katika Ukristo==
Katika [[Ukristo]], kuna [[mapokeo ya Kanisa]] yanayozingatiwa sana na baadhi ya [[madhehebu]] (hasa [[Wakatoliki]], [[Waorthodoksi]] na [[Waorthodoksi wa Mashariki]], lakini pia [[Waanglikana]] na wengineo) kwa sababu [[asili]] yao ni wakati wa [[Mitume wa Yesu]], ambao ulikuwa bado wakati wa [[Ufunuo]] wa [[Mungu]] katika [[imani]] ya madhehebu hayo.
Mapokeo ya namna hiyo yanaitwa [[mapokeo ya Mitume]] kwa kuyatofautisha na mapokeo mengi yaliyotokea baadaye na ambayo yanaweza kuwa mazuri lakini pia mabayaː kwa vyovyote hayambani Mkristo kwa msingi wa imani.
Hata hivyo madhehebu mengine, hasa ya [[Uprotestanti]], yanakataa yale yote yasiyopatikana wazi katika [[Biblia ya Kikristo]].
==Tanbihi==
|