Kiongozi : Tofauti kati ya masahihisho

27 bytes removed ,  miaka 7 iliyopita
K
(K)
'''Kiongozi''' ni mtu ambaye huongoza kikundi cha watu. Mara nyingi kiongozi hupewa [[heshima]] ya juu katika [[jamii]], kikundi cha watu au katika [[familia]] ambapo huheshimiwa na watu wote katika eneo husika analolisimamia kiongozi kwa ajili ya kuwaongoza watu.
==Kiongozi==
 
Kiongozi ni mtu ambaye huchaguliwa na kikundi cha watu.[katika biblia kiongozi ni mtu ambaye huchagulawa na '''MUNGU''' kwa ajili ya kuongoza watu wake hapa '''Duniani'''] ambapo katika nchi nyingi duniani [[kiongozi]] hupatikana kwa wananchi kupigiwa kura ambapo watu mbalimbali wanaohitaji [[uongozi]] hupigiwa kura kwa ajili ya kuwa kiongozi katika [[jamii]] au kikundi cha watu hupatikana. Mara chache sana kiongozi huchaguliwa kwa kuteuliwa na mtu mmoja pasipo kupigiwa kura na pia katika jamii nyingine kiongozi hupatikana kwa '''kurithi''' ambapo [[mrithi]] huwa kiongozi kwa kurithi uongozi kutoka kwa kiongozi alie fariki na kuachia madaraka ya uongozi. mara nyingi kiongozi hupewa heshima ya juu katika [[jamii]], kikundi cha watu au katika[[ familia]] ambapo huheshimiwa na watu wote katika eneo husika analolisimamia kiongozi kwa ajili ya kuwaongoza watu.
==kiongoziKiongozi katika familiajamii==
Katika nchi nyingi duniani [[kiongozi]] hupatikana kwa wananchi kupiga [[kura]] ambapo watu mbalimbali wanaogombea [[uongozi]] hupigwa kura kwa ajili ya kuwa kiongozi katika [[jamii]] au kikundi cha watu hupatikana.
kiongozi katika [[familia]] huwa ni mtu '''alienaumli''' mkubwa katika familia husikamkubwa kulingana na watu katika familia husika ambapo kiongozi huwa ni [[baba]] na [[mama]] katika familia ambapo baba ndio huwa kiongozi mkubwa katika familia ambae ndio huwa kiongozi mkubwa akifuatiwa na mama hususani katika famila. pia katika familia huwa na kiongozi wa ukoo ambapo [[bibi]] na [[babu]] huwa [[viongozi]] wa juuu katika ukoo.
 
Mara nyingine kiongozi huchaguliwa kwa kuteuliwa na mtu mmoja pasipo kupigwa kura.
 
Pia katika jamii nyingine kiongozi hupatikana kwa kurithi, ambapo [[mrithi]] huwa kiongozi kwa kurithi uongozi kutoka kwa kiongozi aliyefariki na kuachia [[madaraka]].
 
==Kiongozi katika familia==
Kiongozi katika [[familia]] huwa ni mtu aliye na [[umri]] mkubwa katika familia husika, ambapo viongozi huwa ni [[baba]] na [[mama]]. Katika familia nyingi baba ndio huwa kiongozi mkubwa akifuatiwa na mama.
 
Pia familia huweza kuwa na kiongozi wa [[ukoo]] ambapo [[bibi]] na [[babu]] huwa [[viongozi]] wa juu katika ukoo.
 
==Kiongozi katika Biblia==
Katika [[Biblia]] kiongozi ni mtu ambaye huchaguliwa na [[Mungu]] kwa ajili ya kuongoza watu wake hapa [[duniani]].
 
[[Jamii:Siasa]]
[[Jamii:Elimu jamii]]
[[Jamii:Dini]]