Salawe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 3:
Shughuli kuu wanzofanya katika kata hii ni kilimo , na zao kuu ambayo wanayategemea ni mpunga na mahindi. Kata ya Salawe inapakana na [[Mkoa wa Mwanza]].
==shughuli za kilimo==
wakazi wa
==shughili za kibiashara==
katika kata ya salawe biashara inayo shika kasi kwa kiasi kikubwa ni biashara ya [[nyanya]] ambapo wakazi wengi hujishughulisha na zao hilo kibiashara katika kuwaingizia kipato cha kila siku. Shughuli nyingine ni kama vile biashara za wanyama kama vile [[ng'ombe]] [[kondoo]], [[mbuzi]] pamoja na [[ndege]] kama vile [[kuku]] pamoja na biashara nyingine wanazo fanya wanadamu.
==shughuli za kijamii==
katika shughuli za kijamii kama vile ndoa. Katika ndoa mwanaume hutoa [[mahari]] kubwa kama vile [[ng'ombe]] ishilini hususani mwanamke anapokuwa na rangi nyeupe au [[mweupe]], mara nyingi [[ndoa]] nyingi hifanyika kipindi cha kilimo ambapo watu huweza kuwa na chakula cha kutosha kwa ajiri ya tukio la [[harusi]]. Mahari hutorewa mara nyingi na baba wa mtoto anaeoa hususani mtoto wa kiume.Mara nyingi kinapo tokea kitu katika kata hii kama vile [[msiba]] watu wote hujumuika kwa pamoja.
==Marejeo==
{{marejeo}}
|