Wadudu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza nondo |
No edit summary |
||
Mstari 20:
*** Oda nyingi (angalia matini)
}}
'''Wadudu''' wa kweli (tazama [[mdudu]]) ni kundi la [[arithropodi]] wadogo kiasi ambalo lina [[spishi]] nyingi [[dunia]]ni. [[biolojia|Kibiolojia]] wako katika [[ngeli]] ya [[Insecta]].
Wadudu wanashirikiana kuwa na [[muundo]] wa [[kiwiliwili]] chenye pande tatu za [[kichwa]] mbele, [[kidari]] katikati na [[fumbatio]] nyuma, halafu [[jozi]] tatu za [[miguu]] na kwa kawaida jozi mbili za [[mabawa]]. Kwa nje kiwiliwili kinafunikwa kwa [[khitini]] yenye kazi ya [[kiunzi nje]].
Hadi sasa [[wataalamu]] waliainisha zaidi ya spishi [[milioni]]
Wadudu wanaishi takriban kila mahali [[duniani]]. Spishi nyingi zinapatikana katika sehemu za [[tropiki]] na idadi inapungua
==Uainishaji==
Mstari 82:
****** Oda [[Lepidoptera]] ([[kipepeo|vipepeo]], [[nondo]])
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Insecta|Wadudu}}
{{mbegu-biolojia}}
|