Qatar : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 22:
|population_estimate = 2,155,446 <!--UN Common database 2014 projection-->
|population_estimate_rank = ya 142
|population_estimate_year = Agosti 20132014
|population_census = 1,699,435 [http://www.planning.gov.qa/Qatar-Census-2010/pubulation-eng/Tabels/Pubulation/T01.htm]
|population_census_rank = ya 148
|population_census_year = 2010
|population_density = 74176
|population_densitymi² = 192455 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|population_density_rank = ya 12176
|GDP_PPP = $25.01 bilioni <!--IMF-->
|GDP_PPP_rank = ya 102
Mstari 63:
|footnotes = <sup>1</sup> Qatar ilitawaliwa na familia ya Al Thani tangu karne ya 19 lakini ilikuwa chini ya Uingereza katika karne ya 20<br />
}}
'''Qatar''' (kwa [[Kiarabu]]: '''<big> قطر </big>''') ni [[emirati]] ndogo wa [[Uarabuni]] kwenye [[rasi ya Qatar]] ambayo ni sehemu ya [[rasi ya Uarabuni|rasi kubwa ya Uarabuni]].
 
Imepakana na [[Saudia]] upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya [[Ghuba ya Uajemi]]. [[Kisiwa]] cha [[Bahrain]] kiko karibu.
 
[[Mji mkuu]] wa Qatar ni '''[[Doha]]'''.
 
==Siasa==
Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni [[Waarabu]] na [[Waafrika]] ([[utumwa]] nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali, hasa [[India]] (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.
Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na [[siasa]] ya [[Mashariki ya Kati]] kwa kuwapa [[silaha]] Waislamu wenye [[itikadi kali]] kama vile huko [[Palestina]], [[Syria]] na [[Iraq]].
 
==Watu==
Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni [[Waarabu]] na [[Waafrika]] ([[utumwa]] nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni [[wafanyakazi]] kutoka nchi mbalimbali, hasa [[India]] (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.
 
[[Kiarabu]] ni [[lugha rasmi]] ya nchi lakini [[Kiingereza]] hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya [[biashara]] na [[ofisi]]ni.
Line 75 ⟶ 79:
Waqatari wenyewe ni [[Uislamu|Waislamu]] (hasa [[Wasuni]]) lakini watu kutoka nje hufuata pia [[dini]] mbalimbali: hivyo kati ya wakazi wote 13.8% ni [[Wakristo]] na 13.8% tena ni [[Wahindu]].
 
==Uchumi==
[[Uchumi]] wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya [[petroli]] na [[gesi]] yake.
 
Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na [[siasa]] ya [[Mashariki ya Kati]] kwa kuwapa [[silaha]] Waislamu wenye [[itikadi kali]] kama vile huko [[Palestina]], [[Syria]] na [[Iraq]].
 
== Viungo vya nje ==
{{Commons|Qatar}}
* {{en}} na {{ar}} [http://www.gov.qa/wps/portal/ Tovuti ya serikali]
* {{CIA World Factbook link|qa|Qatar}}
* {{GovPubs|qatar}}
* {{dmoz|Regional/Middle_East/Qatar}}
* [http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-14702226 Qatar] from the [[BBC News]].
* {{wikiatlas|Qatar}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=QA Key Development Forecasts for Qatar] from [[International Futures]].
* [http://www.almeezan.qa/ Legal Portal] by the Ministry of Justice, including official gazette.
* [https://www.globalsurance.com/health-insurance/qatar/ Qatar Medical Care System]
 
{{Mbegu-jio-Asia}}
{{asia}}
{{Mbegu-jio-Asia}}
 
[[Jamii:Qatar]]