Uislamu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 28:
Mjini Yathrib mtume aliendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na wa kijeshi. Alifanya mapatano na watu wa Yathrib iliyoitwa baadaye "madinat an-nabi"" ikajulikana kwa kifupi kama [[Madina]].
Kutoka Madina mtume alianza kushambulia misafara ya watu wa Maka akawashinda mara kadhaa. Wakati huohuo aliwafukuza [[Wayahudi]] wa Yathrib. Hasa kwa vile Waislam walipohama Makkah kwenda
Mwaka 628 viongozi wa Maka walilazimishwa kufanya mapatano na Waislamu na mwaka 630 jeshi la Waislamu iliingia mjini Maka.
|