Amani ya Westfalia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 49 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q150995 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Ulaya 1648.PNG|thumb|400px|Ulaya baada ya Amani ya Westfalia 1648; <br />mstari mwekundu: Eneo la Dola Mtakatifu]]
'''Amani ya Westfalia''' ilikuwa mapatano yaliyomaliza [[vita ya miaka 30]] katika [[Ujerumani]] na nchi za jirani. Mapatano yalimalizika katika mikutano kwenye [[miji]] ya [[Münster]] na [[Osnabrück]].
 
Washiriki katika mapatano yahayo walikuwa [[Kaisari Ferdinand III]] wa [[Dola Takatifu la Kiroma]], watawala wengine wa madolama[[dola]] katikandani ya Ujerumani, halafu [[Hispania]], [[Ufaransa]], [[Uswidi]] na [[Uholanzi]].
 
Kati ya matokeo ya kudumu yalikuwa [[uhuru]] wa [[Uswisi]] na Uholanzi zilizohesabiwa awali kama sehemu za Dola Takatifu, mapatano kuhusu [[uvumilivu]] kati ya [[Wakatoliki]], [[Walutheri]] na [[Wareformed]] kama [[madhehebu]] makubwa ya [[Kikristo]] katika Ujerumani na kupungukiwa kwa [[madaraka]] ya [[Kaisari]] lakini kuongezeka zakwa haki za madola madogo ndani ya Ujerumani.
 
Mataifa ya nje kama Uswidi na Hispania yalikuwa sasa na maeneo ndani ya Dola Takatifu na Ujerumani penyeweyenyewe; madola ya Ujerumani kama [[Habsburg]]-[[Austria]] na [[Brandenburg]]-[[Prussia]] yalitawala pia maeneo nje ya Dola Takatifu.
 
[[Jamii:Historia ya Ulaya]]
Mstari 12:
[[Jamii:Mikataba ya kimataifa|Amani ya Westfalia 1648]]
[[Jamii:Vita]]
 
[[hu:Harmincéves háború#A vesztfáliai béke]]