Bamba la gandunia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kiungo |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Mabamba gandunia (tectonic plates).png|thumb|350px|Mabamba gandunia ya dunia yetu]]
'''Bamba gandunia''' ni kipande kikubwa cha [[ganda la dunia]].
Mabamba haya ni sehemu ya nje ya [[tabakamwamba]] (lithosferi). Tabaka hili limevunjika katika vipande vikubwa 7 na vingine vidogo vinavyoelea juu ya tabaka lenye hali ya kiowevu chenye mnato mzito.
Mabamba haya yote yameonekana kuwa na mwendo wa [[mita|sentimita]] kadhaa (2 - 20 [[cm]] zimepimwa) kwa mwaka. Mwendo huu husababishwa na nguvu ya [[magma]] (mwamba moto wa kiowevu) inayopanda juu na kusukuma mabamba haya
==Mabamba makuu ya dunia==
|