Teresa wa Mtoto Yesu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d →[[Filamu]] juu yake: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|fr}} using AWB (10903) |
|||
Mstari 11:
===Asili na utoto===
[[Picha:TdL-1881.JPG|thumb|left|120px|Teresa mwaka 1881 akiwa na umri wa miaka 8.]]
Teresa, mtoto wa tisa na wa mwisho wa Louis Martin na Marie-Azélie Guérin (Zélie), ambao wanaheshimiwa kama [[wenye heri]] tangu tarehe [[19 Oktoba]] [[2008]] na kama [[watakatifu]] tangu tarehe [[18 Oktoba]] [[2015]], alizaliwa tarehe 2 Januari 1873 kwenye barabara Saint-Blaise 42, huko Alençon, [[mkoa]] wa [[Normandie]] (Ufaransa).
Walipokuwa vijana wazazi wake walitaka kuingia utawani, wasiweze. Baada ya kuoana, maisha yao yote yaliongozwa na [[imani]] na [[maadili]] ya [[Ukristo]].
|