Afya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:NewZealand-Stamp-1933-Health.jpg|thumb|422x422px|[[Stempu]] ya [[posta]] ya [[New Zealand]], mnamo mwaka [[1933]].]]
[[File:Borch Lady washing hands.jpg|thumb|270px|Mwanamke akinawa mikono 1655 hivi.]]
'''Afya''' ni hali ya kujisikia vizuri ki[[mwili]],
Afya ya [[binadamu]] itakuwa njema kama atafuatilia kanuni na taratibu bora za afya.
Sawa na suala la ugonjwa, hakuna elezo kamili kuhusu hali ya afya. ▼
Pia tunatakiwa kuwa na afya ya kiroho yaani kuishi kadiri ya mafundisho ya [[Mwenyezi Mungu]] kama vile: kupendana, kuthaminiana na kuacha [[dhambi]]. Tena mara nyingi hizo zinadhuru afya ya mwili pia.
== Fafanuzi za afya ==
▲Sawa na suala la ugonjwa, hakuna elezo kamili kuhusu hali ya afya.
* [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) lilitoa ufafanuzi ufuatao: "Afya ni hali ya [[ustawi]] kamili kimwili, kiroho na ki[[jamii]] na zaidi ya kukosa ugonjwa." <ref><nowiki>http://www.who.int/bulletin/archives/80(12)981.pdf ''WHO definition of Health''</nowiki></ref>
|