Haki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
{{Maadili bawaba}}
[[Picha:Iustitia Papstgrab Bamberg aus Gottfried Henschen u Daniel Papebroch 1747.jpg|thumb|left|200px|Haki]]
[[File:JMR-Memphis1.jpg|thumb|200px|right|[[Bibi Haki]], kielelezo cha adili hili, amechorwa kama [[mungu]] wa kike akiwa na vifaa vitatu: [[upanga]], [[mizani]] na kitambaa cha macho.<ref>Luban, ''Law's Blindfold'', 23.</ref>]]
[[Picha:Iustitia Papstgrab Bamberg aus Gottfried Henschen u Daniel Papebroch 1747.jpg|thumb|left|140px|Haki]]
'''Haki''' ndiyo [[utaratibu]] unaotakiwa katika mafungamano.
Kwa [[Kigiriki]] inaitwa ''dikaiosyne'', kutokana na [[neno]] asili ''dike'' yaani ''anayeelekeza'' na kwa hiyo pia ''mwongozo, utaratibu''. Tofauti na ''[[nomos]]'', yaani [[sheria]] inayoongoza [[wanyama]] pia, ''dike'' inahitajiwa na [[binadamu]] ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha ''bie'', [[ukatili]], nguvu inayoangamiza. ''Dikaios'' (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. ''Dikaia zoe'' ni maisha ya kiutu yanayopingana na ''[[hybris]]'' (kiburi) na ushenzi.▼
Kwa [[Kilatini]] kutokana na neno ''jus'', haki, linapatikana neno ''justus'', mwenye kujali haki, na hatimaye ''justitia'', iliyo [[adili]] la msingi la [[utu]]
Maana ya haki inatofautiana Kwa kila [[utamaduni]]. Katika maana ya kwanza kabisa ambayo ilitafsiriwa na [[mwanafalsafa]] wa Ugiriki, [[Plato]] kwenye kazi yake ''Jamhuri''. Kutokana na historia dhana mbalimbali zimegunduliwa.
▲Kwa [[Kigiriki]] inaitwa ''dikaiosyne'', kutokana na neno asili ''dike'' yaani ''anayeelekeza'' na kwa hiyo pia ''mwongozo, utaratibu''. Tofauti na ''[[nomos]]'', yaani sheria inayoongoza wanyama pia, ''dike'' inahitajiwa na [[binadamu]] ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha ''bie'', ukatili, nguvu inayoangamiza. ''Dikaios'' (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. ''Dikaia zoe'' ni maisha ya kiutu yanayopingana na ''[[hybris]]'' (kiburi) na ushenzi.
==Tanbihi==
▲Kwa [[Kilatini]] kutokana na neno ''jus'', haki, linapatikana neno ''justus'', mwenye kujali haki, na hatimaye ''justitia'', iliyo [[adili]] la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.maana ya haki inatofautiana na kila [[utamaduni]]. Ka tika maana ya kwanza kabisa ambayo ilitafsiliwa na filosofia wa kigiriki [[Plato]] kwenye kazi yake '' kwaJamhuri ''. Kutokana na historia dhana mbalimbali zimegunduliwa.
▲[[File:Luca Giordano 013.jpg|thumb|haki ilivyoonyeshwa na [[Luca Giordano]].]]
[[Jamii:Maadili]]
|