Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|he}} using AWB (10903) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Election MG 3455.JPG|thumb|Demokrasia inahusisha upigaji wa kura]]
'''Demokrasia''' (ni neno kutoka lugha ya [[Kigiriki]], ''demokratia'' maana yake ''utawala wa watu'') ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia,
watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia nyingi za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa ''kushikilia [[uchaguzi]]''.
|