Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Election MG 3455.JPG|thumb|Demokrasia inahusisha upigaji wa kura.]]
'''Demokrasia''' (kutoka neno la [[Kigiriki]] δημοκρατία, ''dēmokratía'', maana yake ''utawala wa watu'': δῆμος, dêmos, maana yake "watu" na κράτος, krátos, maana yake utawala) ni aina ya [[serikali]].
Neno hilo lilitumika kuanzia [[karne ya 5 KK]] kuelezea mtindo wa utawala uliotumika katika [[Athene]] na [[miji]] mingine kadhaa ya [[Ugiriki]], kinyume cha ἀριστοκρατία, aristokratía, "utawala wa masharifu".
Kwenye demokrasia watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao.
|