Ukuta wa Maombolezo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[Picha:Israel-Western Wall.jpg|thumb|Wayahudi wakisali mbele ya Ukuta wa Maombolezo]]
[[Picha:Israel Western Wall.jpg|thumb|Ukuta wa Maombolezo]]
[[Picha:Franciscus kotel.jpg|thumb|[[Papa Fransisko]] kwenye Ukuta wa Maombolezo.]]
'''Ukuta wa Maombolezo''' (KWA [[Kiebrania]]: הכותל המערבי - hakotel hama'ariv ''"ukuta wa magharibi"'') katika [[mji]] wa kale wa [[Yerusalemu]] ni [[patakatifu]] pa [[dini]] ya [[Uyahudi]].
==Ukuta wa hekalu la pili==
[[Ukuta]]
[[Hekalu]] hilo lilibomolewa na [[Dola la Roma|Waroma]] mwaka [[70]] [[BK]] wakati wa [[vita ya Waroma dhidi ya Wayahudi]].
Ukuta si sehemu ya hekalu lenyewe bali ulikuwa ukuta wa pembeni wa [[uwanja]] uliotengenezwa kwa vifusi kwenye mlima wa hekalu.
==Jina==
[[Jina]] la "Ukuta wa Maombolezo" limetokana na [[desturi]] ya Wayahudi
==Umuhimu katika imani ya
Wayahudi huheshimu mahali hapa kwa sababu ni sehemu ya hekalu la Yerusalemu la mwisho tena sehemu ya mabaki haya yaliyo karibu na [[Patakatifu pa Patakatifu]] pa hekalu lile.
|