Mwanzi (nyasi) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 85 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q35922 (translate me)
Masahihisho
Mstari 16:
| subdivision = Jenasi 91 na spishi 1,000
}}
'''Mwanzi''' ni jina kwala [[spishi]] nyingi za [[nyasi|manyasi]] makubwa yanayoweza kuonekana kama [[mti|miti]]. Mianzi yote huwa na shina ya aina ya ubao.
 
Mianzi hupatikana kiasili katika [[Afrika]], [[Amerika]] na [[Asia]] lakini inastawi pia ikipandwa Ulaya.
Mstari 22:
Urefu wa spishi kubwa hufikia kina cha mita 40. Inaweza kukua zaidi ya mita 1 kila siku lakini kwa kawaida ni sentimita 3-5 kwa siku.
 
Shina yala mianzi huwa na umbo la bomba na unene wakiwake ni hadi sentimita 30. Shina hugawiwa na vinunduvifundo. Kila kinundukifundo kina chipukizi na machipukizi yanaweza kuendelea kuota matawi.
 
== Matumizi ==
Mianzi ina matumizi mengi kwa [[binadamu]]. Inafaa kwa ujenzi wa [[nyumba]], [[daraja|madaraja]] au [[boti|maboti]]. ShinaMashina zinatumiwahutumika pia kamakwa mabomba ya maji kwakatika nyumba na [[kilimo]].
 
Wakati ni changa na laini yaani kabla ya kuwa ubao mwanzi unafaa kama chakula baada ya kupikwa. Mtovu unakusanywa pia kama [[kinywaji]] hasa [[pombe]].
 
Katika utamaduni wa [[China]] ya Kale vipande vya mianzi vilitumiwa kama bao za kuandika matini.
 
{{wikispecies|Bambuseae}}
 
[[Jamii:Nyasi na jamaa]]
[[Category:Poaceae]]