Jua : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Masahihisho aliyefanya 188.64.240.39 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni |
||
Mstari 2:
'''Jua''' ni [[nyota]] ambayo ni karibu na [[dunia]] yetu kuliko nyota nyingine. Jua ni [[kitovu]] cha [[mfumo wa jua]] likizungukwa na [[sayari]] nane. [[Dunia]] yetu ni moja ya sayari hizo katika [[mfumo wa jua na sayari zake]].
[[Umbo]] la jua linakaribia [[tufe]] kamili. [[Maada]] yake ni [[Utegili (fisikia)|utegili]] yaani [[gesi]] ya [[joto]] sana inayoshikwa na [[nguvu]] ya ki[[sumaku]].
|