Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 12:
|----
| align="center" colspan="2" style="border-bottom:2px solid gray;" |
[[WitoKaulimbiu]]: ''Uhuru na Umoja''
|----
| [[Wimbo wa Taifa]] ||''[[Mungu ibariki Afrika]]''
|----
| [[Lugha rasmi]] || [[Kiswahili]] (kwa [[dhati]])
Line 38 ⟶ 40:
| [[Wakati]] || [[UTC]]+3
|----
| Dini za wakazi || [[Dini asilia za jadiKiafrika]] (34.3%), [[Ukristo]] (33.5%), [[Uislamu]] (31.4%), wengineo (0.8%){{[[Sensa]] ya [[27 Agosti]] [[1967]]<ref>[http://www.state.gov/g/drl/rls/irf/2007/90124.htm International Religious Freedom Report 2007: Tanzania]. United States [[Bureau of Democracy, Human Rights and Labor]] (14 Septemba 2007). ''This article incorporates text from this source, which is in the [[public domain]].''</ref>}}
 
|----
| [[Wimbo wa Taifa]] ||''[[Mungu ibariki Afrika]]''
|----
| colspan="2" align="right" | [[Picha:Tanzania in its region.svg|thumb|right|280px|Tanzania katika Afrika]]
Mstari 56:
Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka [[2012]] walikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika [[sensa]] ya mwaka [[2002]].
 
[[Msongamano]] ni wa watu 47.5 kwa [[km2]] (nchi ya 124 duniani).
 
Tanzania ni nchi kubwa zaidi kati ya wanachama wa [[Jumuiya ya Afrika ya Mashariki]].
 
[[Mji mkuu]] ni [[Dodoma mjini|Dodoma]] (wenye wakazi 410,956), lakini [[makao makuu]] ya [[serikali]] bado yapo [[Dar es Salaam]], [[jiji]] kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541.

Majiji mengine ni kama vile [[Mwanza (mji)|Mwanza]] (706,543), [[Arusha (mji)|Arusha]] (416,442), [[Mbeya (mji)|Mbeya]] (385,279), [[Morogoro (mji)|Morogoro]] (315,866)[[Tanga (mji)|Tanga]] (273,332), [[Kahama (mji)|Kahama]] (242,208), [[Tabora (mji)|Tabora]] (226,999) na [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]] (223,033).
 
== Historia ==
Line 100 ⟶ 102:
* Kodi ya mapato, forodha
* Bandari, Usafiri wa anga, Posta na Simu
 
== Watu ==
''tazama [[Orodha ya makabila ya Tanzania]]''
 
Watu wa Tanzania hawaenei sawasawa. Katika maeneo makavu sana, kuna mtu mmoja tu kwenye kilomita ya mraba (1/km²), lakini sehemu zenye [[rutuba]] za [[bara]], kuna watu 51 kwa kila kilomita ya mraba. Hatimaye huku [[Unguja]] kuna watu 134 kwa kilomita ya mraba na katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]] ni 3,133 kwa kilomita ya mraba.
 
Asilimia 70 hivi huishi [[kijiji|vijijini]].
 
Kuna [[Orodha ya makabila ya Tanzania|makabila 125 hivi]]. Ma[[kabila]] yenye watu zaidi ya [[milioni]] moja ni [[Wasukuma]], [[Wanyamwezi]], [[Wachaga]], [[Waha]], [[Wagogo]], [[Wahaya]], [[Wajaluo]] na [[Wamakonde]].
 
Tanzania ni nchi pekee ya Afrika ambamo wakazi asili wanawakilisha makundi makuu yote ya makabila ya [[Kusini kwa Sahara]].
 
Idadi kubwa sana ya Watanzania ni wa jamii ya [[Wabantu]].
 
Nje ya hao, kuna [[Waniloti]], kwa mfano [[Wamasai]] na [[Wajaluo]] ambao wengi wao zaidi wanaishi [[Kenya]].
 
Kundi lingine ni makabila ya [[Wakushi]] wanaoishi kaskazini mwa Tanzania; hao ni makabila ya [[Wairaqw]], [[Wafiome]] na [[Wasi]].
 
Kuna vikundi viwili vya [[Wakhoisan]] wanaofanana na makabila ya [[Botswana]] na [[Namibia]]; majina yao ni [[Wasandawe]] na [[Waburunge]].
 
Hatimaye kuna [[Wahadzabe]] wachache ambao utafiti wa DNA umeonyesha hivi karibuni wana uhusiano wa asili na [[Watwa]] wa nchi za [[Afrika ya Kati]].
 
Pia kuna asilimia ndogo ya watu wenye asili ya nje ya bara la [[Afrika]], kwa mfano [[Wahindi]], [[Waarabu]], [[Waindochina]], [[Wafarsi]], [[Wachina]] na [[Waingereza]]. Hii ilisababishwa na karne za mchanganyiko wa mahitaji ya biashara yaliofanywa na mabara ya [[Ulaya]] na [[Asia]] hapo [[Afrika]].
 
== Lugha ==
Nchini Tanzania kuna [[lugha]] za [[kabila|kikabila]] zaidi ya mia moja na ishirini, kwa kuwa kila kabila lina lugha yake.
 
[[Kiswahili]] ndiyo [[lugha ya taifa]] na inazidi kuwa [[lugha mama]] kwa watoto wengi, hasa mijini. Walau asilimia 90 za wakazi wanakitumia walau kama [[lugha ya pili]]. Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha za [[Kibantu]]: hii imesaidia sana kukubaliwa kwa Kiswahili nchini, kwa sababu idadi kubwa ya Watanzania ni wasemaji wa [[lugha za Kibantu]].
 
Kiswahili kinatumika kama lugha baina ya watu wa makabila mbalimbali na kwa mambo rasmi; kwa hiyo ni lugha rasmi ya [[dhati]].
 
Baada ya [[uhuru]], [[Kiingereza]] (iliyokuwa lugha ya [[ukoloni|kikoloni]] kabla ya [[uhuru]]) iliendelea kutumika kwa mambo kadhaa rasmi na kwa [[elimu]] kuanzia [[sekondari]], na kwa hiyo ilichukuliwa kama lugha rasmi ya dhati pamoja na Kiswahili.
 
Lakini utumizi rasmi wa Kiingereza umepungua katika milongo iliyopita, na sasa utumizi huu karibu umekwisha. Kwa hiyo siku hizi ni kawaida zaidi kuchukulia Kiswahili kama lugha rasmi ya dhati pekee.
 
[[Sera]] mpya ya elimu inakusudia kufanya Kiswahili kuwa [[lugha ya kufundishia]] katika ngazi zote kufikia mwaka [[2024]].
 
==Utawala==
Line 243 ⟶ 209:
|}
 
== DiniWatu ==
Watu wa Tanzania hawaenei sawasawa. Katika maeneo makavu sana, kuna mtu mmoja tu kwenye kilomita ya mraba (1/km²), lakini sehemu zenye [[rutuba]] za [[bara]], kuna watu 51 kwa kila kilomita ya mraba. Hatimaye huku [[Unguja]] kuna watu 134 kwa kilomita ya mraba na katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]] ni 3,133 kwa kilomita ya mraba.
 
Asilimia 70 hivi huishi [[kijiji|vijijini]].
 
===Makabila===
Kuna [[Orodha ya makabila ya Tanzania|makabila 125 hivi]]. Ma[[kabila]] yenye watu zaidi ya [[milioni]] moja ni [[Wasukuma]], [[Wanyamwezi]], [[Wachaga]], [[Waha]], [[Wagogo]], [[Wahaya]], [[Wajaluo]] na [[Wamakonde]].
 
Tanzania ni nchi pekee ya Afrika ambamo wakazi asili wanawakilisha makundi makuu yote ya makabila ya [[Kusini kwa Sahara]].
 
Idadi kubwa sana ya Watanzania ni wa jamii ya [[Wabantu]].
 
Nje ya hao, kuna [[Waniloti]], kwa mfano [[Wamasai]] na [[Wajaluo]] ambao wengi wao zaidi wanaishi [[Kenya]].
 
Kundi lingine ni makabila ya [[Wakushi]] wanaoishi kaskazini mwa Tanzania; hao ni makabila ya [[Wairaqw]], [[Wafiome]] na [[Wasi]].
 
Kuna vikundi viwili vya [[Wakhoisan]] wanaofanana na makabila ya [[Botswana]] na [[Namibia]]; majina yao ni [[Wasandawe]] na [[Waburunge]].
 
Hatimaye kuna [[Wahadzabe]] wachache ambao utafiti wa DNA umeonyesha hivi karibuni wana uhusiano wa asili na [[Watwa]] wa nchi za [[Afrika ya Kati]].
 
Pia kuna asilimia ndogo ya watu wenye asili ya nje ya bara la [[Afrika]], kwa mfano [[Wahindi]], [[Waarabu]], [[Waindochina]], [[Wafarsi]], [[Wachina]] na [[Waingereza]]. Hii ilisababishwa na karne za mchanganyiko wa mahitaji ya biashara yaliofanywa na mabara ya [[Ulaya]] na [[Asia]] hapo [[Afrika]].
 
=== Lugha ===
''tazama [[{{main|Orodha ya makabilalugha yaza Tanzania]]''}}
Nchini Tanzania kuna [[lugha]] za [[kabila|kikabila]] zaidi ya mia moja na ishirini, kwa kuwa kila kabila lina lugha yake.
 
[[Kiswahili]] ndiyo [[lugha ya taifa]] na inazidi kuwa [[lugha mama]] kwa watoto wengi, hasa mijini. Walau asilimia 90 za wakazi wanakitumia walau kama [[lugha ya pili]]. Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha za [[Kibantu]]: hii imesaidia sana kukubaliwa kwa Kiswahili nchini, kwa sababu idadi kubwa ya Watanzania ni wasemaji wa [[lugha za Kibantu]].
 
Kiswahili kinatumika kama lugha baina ya watu wa makabila mbalimbali na kwa mambo rasmi; kwa hiyo ni lugha rasmi ya [[dhati]].
 
Baada ya [[uhuru]], [[Kiingereza]] (iliyokuwa lugha ya [[ukoloni|kikoloni]] kabla ya [[uhuru]]) iliendelea kutumika kwa mambo kadhaa rasmi na kwa [[elimu]] kuanzia [[sekondari]], na kwa hiyo ilichukuliwa kama lugha rasmi ya dhati pamoja na Kiswahili.
 
Lakini utumizi rasmi wa Kiingereza umepungua katika milongo iliyopita, na sasa utumizi huu karibu umekwisha. Kwa hiyo siku hizi ni kawaida zaidi kuchukulia Kiswahili kama lugha rasmi ya dhati pekee.
 
[[Sera]] mpya ya elimu inakusudia kufanya Kiswahili kuwa [[lugha ya kufundishia]] katika ngazi zote kufikia mwaka [[2024]].
 
=== WatuDini ===
{{Main|Dini nchini Tanzania}}
Nchi haina [[dini rasmi]] na [[katiba]] ya Tanzania inatangaza [[uhuru wa dini]] kwa wote. Mara nyingi idadi ya wafuasi wa [[dini]] hutajwa kuwa theluthi moja [[Uislamu|Waislamu]], theluthi moja [[Ukristo|Wakristo]] na theluthi moja wafuasi wa [[dini za jadi]]. Lakini tangu [[uhuru]] swali la dini ya wananchi halijaulizwa tena katika [[sensa]], kwa hiyo kadirio la theluthi-theluthi inawezekana ni zaidi azimio la kisiasa.