Wamarekani weusi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Louis Armstrong restored.jpg|thumb|100x100px|[[Mwanamuziki]] [[Louis Armstrong]]]]
[[Picha:Martin Luther King Jr NYWTS.jpg|thumb|100x100px|[[Mwanaharakati]] [[Martin Luther King]]]]
[[Picha:Robert Curbeam cropped.jpg|thumb|100x100px|[[Mwanaanga]] [[Robert Curbeam]]]]
'''Wamarekani
Mara nyingi mababu hao walipelekwa Marekani kama [[watumwa]] katika [[karne]] zilizopita.
Watumwa walipelekwa Marekani kutoka Afrika kati ya 1619 na 1807 hasa wakati usafirishaji wa watumwa kutoka Afrika ulipigwa marufuku. Katika utamaduni wa Marekani kila mtu mwenye babu Mwafrika huhesabiwa kama "mtu mweusi" hata kama uzazi wake ni wa [[chotara]] na sehemu kubwa walikuwa watu weupe. ▼
[[Jina]] hili linaweza kutaja pia watu ambao [[wazazi]] wao au wenyewe walihamia Marekani hivi karibuni tu kutoka Afrika au kutoka nchi nyingine, hasa za [[Karibi]] na [[Amerika Kusini]].
Siku hizi Wamarekani weusi wengi huishi mjini lakini bado kuna maeneo penye Wamarekani weusi wengi mashambani katika kusini ya nchi. ▼
Watumwa walipelekwa Marekani kutoka Afrika kati ya miaka [[1619]] na [[1807]] hasa wakati usafirishaji wa watumwa kutoka Afrika ulipigwa [[marufuku]].
Kwa jumla kuna watu 39,151,870 wanaohesibwa kama Waamerika weusi na hao ni asilimia 13 ya Wamarekani wote.▼
▲
Utafiti kwamba kwa wastani, [[damu]] yenye asili ya Afrika imechangia 78.1%, ile ya [[Ulaya]] 18.5% na ya [[Waindio|Kiindio]] 3%.
▲Siku hizi Wamarekani weusi wengi huishi
▲Kwa jumla kuna watu 39,151,870 wanaohesibwa kama Waamerika weusi na hao ni asilimia 13.5 ya Wamarekani wote. Wengi wao ni [[Wakristo]] [[Waprotestanti]].
Mashuhuri kati ya Wamarekani weusi ni wanamuziki kama [[Louis Armstrong]], wanasiasa kama [[Martin Luther King, Jr.]] au [[Barack Obama]] na waandishi kama [[Toni Morrison]].
{{mbegu}}
[[Jamii:Wamarekani weusi| ]]
|