Mnara wa Eiffel : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[Picha:Tour Eiffel - 20150801 15h30 (10621).jpg|thumbnail]]
'''Mnara wa Eiffel''' (kwa [[Kifaransa]]: ''Tour Eiffel'') ni [[jengo]] mashuhuri la [[mji]] wa [[Paris]] nchini [[Ufaransa]]
[[Mnara]] huu ulipokea [[jina]] lake kutoka kwa [[mjenzi]] wake aliyekuwa [[mhandisi]] [[Alexandre Gustave Eiffel]].
[[Kimo]] chake ni [[mita]] 300 na juu yake kuna [[antena]] ya [[redio]] jumla ya kimo inafikia mita 324.
Mnara huu ulijengwa kando ya [[mto Seine]] miaka [[1887]] hadi [[1889]] kama [[geti]] la [[Maonyesho ya Dunia]] ya mwaka 1889.
Mwanzoni watu wa Paris hawakupenda mnara huo: wengine walidai ubomolewe mara moja baada ya [[maonyesho]]. Lakini [[idadi]] kubwa ya [[watalii]] iliufanya kuwa [[ishara]] ya mji wa Paris na watu walianza kuuzoea.
Kati ya miaka 1889–[[1930]] ilikuwa jengo kubwa la [[dunia]] nzima.
Kila [[mwaka]] hutembelewa na wageni [[milioni]] sita wanaoipanda kwa kutumia [[ngazi]] 1,665.
== Viungo vya Nje ==▼
* [http://www.tour-eiffel.fr/teiffel/uk/ Tovuti rasmi ya Mnara wa Eiffel]
* [http://www.world-city-photos.org/Paris/photos/Eiffel_Tower/ Picha za Mnara wa Eiffel]
* [http://zsmith.net Video za Mnara wa Eiffel]
{{mbegu-jio-Ufaransa}}
|