Mwaka mpya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q34812 (translate me) |
d kiungo |
||
Mstari 1:
[[Picha:OperaSydney-Fuegos2006-342289398.jpg|thumb|300px|Mianga ya Mwaka Mpya mjini [[Sidney]] ([[Australia]])]]
'''Mwaka mpya''' ni siku ya kwanza ya [[mwaka]] na mara nyingi ni sherehe na nafasi ya watu kutakiana heri na baraka za mwaka mpya.
Katika tamaduni mbalimbali nafasi hii ni [[sikukuu]] moja au zaidi pasipo na kazi za kawaida.
|