Ekaristi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Katika mpangilio wa sakramenti saba: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|hu}} using AWB (10903)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:01preparation4.jpg|thumb|200 px|right|Vipaji vya [[mkate]] na [[divai]] vilivyoandaliwa kwa [[adhimisho]] la ekaristi.]]
{{Sakramenti}}
{{Ukristo}}
Kwa [[Ukristo|Wakristo]] '''Ekaristi''' ni [[sakramenti]] iliyowekwa na [[Yesu Kristo]] wakati wa [[karamu ya mwisho]] usiku wa kuamkia [[Ijumaa Kuu]], siku ya mateso na kifo chake.
 
== Jina ==
[[Picha:01preparation4.jpg|thumb|200 px|right|Vipaji vya [[mkate]] na [[divai]] vilivyoandaliwa kwa [[adhimisho]] la ekaristi.]]
 
Jina linatokana na neno la lugha ya [[Kigiriki]] εὐχαρίστω (''eukharisto'': nashukuru) lililotumiwa na [[Mtume Paulo]] na [[Wainjili]] katika kusimulia karamu hiyo ya mwisho ya [[Yesu]] na [[Mitume wa Yesu|Mitume]] wake, na muujiza uliotangulia ambao Yesu alidokeza nia yake ya kushibisha [[binadamu]] wote, yaani ule wa kuzidisha mkate na samaki kwa ajili ya umati.
 
Line 12 ⟶ 11:
 
== Mkate na divai ==
 
Yesu alitumia mkate na divai kwa sababu vilikuwa vya maana sana katika utamaduni wake na katika Agano la Kale. Vilikuwa chakula cha kawaida na kinywaji cha karamu. “Divai imfurahishe mtu moyo wake... na mkate umburudishe mtu moyo wake” (Zab 104:15). Vilitokana na chembe za ngano na matunda ya mzabibu ambavyo Yesu alijifananisha navyo. “Amin, amin, nawaambia: Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi” (Yoh 12:24). “Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi; akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote” (Yoh 15:5). Baada ya kulimwa, vilihitaji kusagwa au kushinikizwa, matendo yanayodokeza tena mateso yake pamoja na kazi ya binadamu. Pia wingi wa chembe na wa zabibu zinazoungana ziwe mkate na divai unamaanisha umoja wa waamini ndani ya Kristo. Kwa hiyo ni lazima tutumie daima mkate na divai, si vitu vingine.
 
Line 22 ⟶ 20:
 
== Ushuhuda wa [[Biblia]] ==
 
[[Agano Jipya]] linasimulia mara nne matendo na maneno ya Yesu ambayo alianzisha ibada hiyo na kuwakabidhi Mitume wake.
 
Line 28 ⟶ 25:
 
== Asili ==
 
Kadiri ya ushuhuda huo, Yesu, katika karamu ya mwisho aliwagawia mitume wake mkate na divai akisema ndio mwili wake na damu yake vitakavyotolewa kama [[kafara]] kwa ondoleo la [[dhambi]] za umati, akawaagaiza wafanye vilevile kwa [[ukumbusho]] wake.
 
Line 36 ⟶ 32:
 
== Maendeleo ==
 
[[Picha:BentoXVI-51-11052007.jpg|thumb|left|360px|[[Papa Benedikto XVI]] akiadhimisha ekaristi]]
Karne zilizofuata ibada ilizidi kubadilika, hasa ilipotenganishwa na mlo wa kawaida ulioendana nayo awali. Badala ya mlo huo, ibada iliunganishwa na masomo ya [[Neno la Mungu]].
Line 45 ⟶ 40:
 
== Teolojia ==
 
Ekaristi inahusiana sana na [[Pasaka]], na [[kifo]] na [[ufufuko]] wa [[Yesu]] vilivyotokea kwenye sikukuu hiyo ya [[Wayahudi]].
 
Line 59 ⟶ 53:
 
Ekaristi inaitwa sakramenti ya upendo kwa sababu kila unapofanyika ukumbusho wa sadaka hiyo pekee waamini wanazidi kujifunza na kupokea upendo ambao siku hiyo Yesu “ali amewapenda watu wake katika ulimwengu, aliwapenda upeo” (Yoh 13:1). Hivyo tunawezeshwa kutekeleza amri mpya aliyotuachia pamoja na ekaristi. “Amri mpya nawapa: Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo” (Yoh 13:34). Ni sharti tujitoe kama Yesu, tukijiunga na sadaka yake katika ibada na katika maisha. “Katika hili tumelifahamu pendo: kwa kuwa yeye aliutoa uhai wake kwa ajili yetu; imetupasa na sisi kuutoa uhai wetu kwa ajili ya hao ndugu. Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma yake, je, upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo? Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, bali kwa tendo na kweli” (1Yoh 3:16-18).
 
 
== Katika mpangilio wa sakramenti saba ==
{{sakramenti}}
Katika imani ya [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]] sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika maumbo ya mkate na divai. Walioshiriki kifumbo kifo na ufufuko wake wakapokea kwake paji la Roho Mtakatifu, wanaalikwa kukaribia mara kwa mara meza anapowalisha na kuwanywesha Mwili na Damu yake ili washiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi. “Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57). Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani ya mtu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa mara inazidi kuitia mwili na damu.
 
{{mbegu-Ukristo}}
Katika imani ya [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]] sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika maumbo ya mkate na divai. Walioshiriki kifumbo kifo na ufufuko wake wakapokea kwake paji la Roho Mtakatifu, wanaalikwa kukaribia mara kwa mara meza anapowalisha na kuwanywesha Mwili na Damu yake ili washiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi. “Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57). Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani ya mtu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa mara inazidi kuitia mwili na damu.
 
[[Jamii:Liturujia]]