Jamhuri ya Watu wa Zanzibar : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 16:
|-
| '''[[Eneo]]'''
| <br /> 2.654 [[kilomita za mraba|km&sup2;]] 2.654
|-
| '''[[Wakazi]]'''
Mstari 32:
 
[[Image:Visiwa vya Zanzibar.JPG|thumb|left|250px|Visiwa vya Zanzibar ([[Unguja]] na [[Pemba]])]]
[[Image:Zanzibar and Pemba Islands.jpg|thumb|Visiwa vya Unguja na Pemba (ramani haionyeshi umbali halisi kati ya visiwa hali halisi)]]
[[File:Zanzibar Harbour.jpg|thumb|Bandari ya Zanzibar]]
 
'''Jamhuri ya Watu wa [[Zanzibar]]''' ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa [[Tanzania]] inayojitawalaingawa inajitawala katika mambo yake ya ndani.
 
Eneo lake ni sawa na [[funguvisiwa]] yavya '''Zanzibar''' iliyopo mbele ya [[mwambao]] wa [[Afrika ya Mashariki]] karibu na [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]] au [[Tanzania bara]]. Inajumuisha [[visiwa]] vikubwa vya [[Unguja]] na [[Kisiwa cha Pemba|Pemba]] pamoja na visiwa vidogovidogo, lakini si kile cha [[Mafia]] kilichopo kusini zaidi.
 
Hadi [[mapinduzi ya Zanzibar]] ya mwaka [[1964]] sehemu hizi zilijulikana kama [[Usultani wa Zanzibar]].
 
==Historia==
[[Historia]] inajioneshainaonyesha kwamba kwa kiasi cha miaka 20,000 kumekuwepo [[makazi]] ya [[binadamu]] katika visiwa vya Zanzibar.
 
Visiwa hivyo ni sehemu ya kumbukumbu ya kihistoria ya [[ulimwengu]] wakati [[Waajemi]] [[wafanyabiashara]] waliigunduawalivigundua na kufanyakuvifanya ndiyo makao makuu kwa [[safari]] kati ya [[Mashariki ya Kati]], [[India]] na [[Afrika]].
 
Katika karne ya mwanzo [[BK]] Zanzibar pamoja na mwambao wa Afrika ya Mashariki vilikuwa katika [[ufalme wa Saba]].
Mstari 50:
Katika kipindi cha [[karne ya 3]] na [[karne ya 4|ya 4]], [[Wabantu |Wabantu]] walianza [[biashara]] na [[Waarabu]] waliokuja Afrika ya Mashariki.
 
Katika [[karne ya 7]], Waarabu walikuja Zanzibar kibiashara pamoja na kusambaza [[dini]] ya [[Uislamu]], Waarabu ndio waliyoipa jina ZANZIBAR kutokana na nenomaneno laya [[KiarabuKiajemi]] ZINJI BAR yaani sehemu ya Watu Weusi.
 
Lugha ya [[Kiswahili]] imeanza kutumika kiasi cha [[karne ya 13]] ikitokana na kuchanganyikanamchanganyiko kwawa lugha ya Kiarabu na [[lugha za Kiafrika]].
 
Katika [[karne ya 16]] [[Wareno]] walikuja Zanzibar lakini [[utawala]] wao ulifuatiwa na kutokuwepo [[utulivu]], lakini [[biashara ya utumwa]] iliwaweka watu pamoja.
Mstari 60:
Miaka [[1820]]-[[1870]] Zanzibar ilifaidi [[matunda]] mazuri ya kiuchumi na [[maendeleo]] yaliyosababishwa na utawala wa kisultani na hivyo kupelekea Zanzibar kuwa na mwakilishi nchini [[Marekani]] na kupelekea kuenea kwa Dini ya Kiislamu.
 
Katika [[karne ya 19]] Zanzibar ilikuwa chini ya utawala wa Oman, mwaka [[1830]] Zanzibar ilikuwa inaongoza kwa [[kilimo]] cha [[karafuu]], na hiyo kupelekea mahitajihaja ya [[watumwa]] kuongezeka kutumika katika kilimo. Hatimaye watumwa walikuwa 90% za wakazi wote.
 
Mwaka [[1885]] kamisheni kutoka [[Uingereza]] na [[Ujerumani]] iliamua kuigawa Zanzibar kutoka katika utawala wa Kisultani na ndio ulikuwa mwisho wa utawala wa kujitegemea kwa Zanzibar. Mnamo mwaka [[1886]] [[sultani]] alikubali maridhiano hayo.
Mstari 80:
 
Mji mkuu wa kisiwa cha Pemba ni [[Chake Chake]].
 
Idadi ya wakazi wote ilikuwa 984,625 mwaka 2002, wakiwa 622.459 wakazi wa Unguja na 362.168 wakazi wa Pemba.
 
[[Uchumi]] wa Zanzibar unategemea [[kilimo]] na [[utalii]].
 
Mazao yanayouzwa nje ni hasa [[karafuu]], [[basibasi]], [[mdalasini]] na [[pilipili]].
 
Jamhuri ya watu wa Zanzibar ilianzishwa baada ya [[mapinduzi]] ya 1964 yaliyomaliza [[Usultani wa Zanzibar]].
Line 99 ⟶ 93:
Rais aliyefuata ni [[Ali Mohamed Shein]] ([[2010]]-[[2015]]). Katika uchaguzi wa tarehe [[25 Oktoba]] 2015 alionekana kushindwa na mpinzani wake, lakini matokeo rasmi hayajatangazwa, ingawa nchi nyingi duniani zinashinikiza ifanye hivyo.
 
==UchumiWatu==
Watu wa Zanzibar ni wa asili mbalimbali, hasa watu wa asili ya Afrika [[Bantu |Bantu]], [17]yakiwemo makabila ya Wahamidu na Watumbatu; halafu [[Waasia]], awali kutoka [[India]] na [[nchi za Kiarabu]].
Uchumi wa Zanzibar ni uchumi duni kabisa ambao mwananchi wa kawaida anaishi chini ya [[Dolar ya Marekani|dola]] moja kwa siku au kutokuwa na uhakika wa kupata chochote.
 
Idadi ya wakazi wa Zanzibar ilikuwa 1,303,569 mwaka 2012, [18] tarehe ya [[sensa]] ya mwisho, iliyoonyesha ongezeko la 3.1% kwa mwaka.
Hilo linatokana na viongozi wa vyama kutoonesha mori katika kutatua matatizo au kuweka mbinu za kuleta [[maendeleo]], badala yake ni kujadili [[siasa]] kwa muda mwingi.
 
Zanzibar ni nchi yenye matumaini katika uchumi lakini, kutokana na migogoro ya kisiasa, imekuwa katika hali duni kabisa, na [[balozi|mabalozi]] wa Marekani na nchi nyingine walisisitiza mara nyingi umuhimu wa kuwepo ushirikiano katika siasa ili kuiwezesha Zanzibar kuinuka katika hali ya kiuchumi.
 
==Idadi ya Watu==
Watu wa Zanzibar ni wa asili mbalimbali, hasa watu wa asili ya Afrika [[Bantu |Bantu]] [17]; [[Waasia]], awali kutoka [[India]] na [[nchi za Kiarabu]].
 
Idadi ya wakazi wa Zanzibar ilikuwa 1,303,569 mwaka 2012, [18] tarehe ya [[sensa]] ya mwisho, iliyoonyesha ongezeko la 3.1% kwa mwaka.
 
Karibu [[theluthi]] mbili ya watu wanaishi Kisiwakatika kisiwa cha Zanzibar (Unguja).
 
[[Mkoa wa mjini magharibi]] ndio wenye idadi kubwa ya wakazi, kiasi cha watu 205,870.
Line 117 ⟶ 104:
Pemba ina jumla ya makazi sawa. Mji mkubwa ni Chake Chake, ukiwa na idadi ya 19,283, mengine ni [[Wete]] na [[Mkoani]].
 
===Dini===
Kuna tofauti kubwa katika kiwango cha maisha kati ya wakazi wa Pemba na Unguja, tena kati ya wakazi wa mijini na vijijini. Wastani wa mapato ya kila mwaka ya [[Dolar ya Marekani|US $]] 250 na ukweli kwamba karibu [[nusu]] ya wakazi wanaishi chini ya mstari wa [[umaskini]].
[[Dini]] ya [[Uislamu]] niina kiasi cha 97% za wananchi wote. Waliobaki ni mchanganyiko wahasa [[Wahindu]] na [[Wakristo]], lakini Wahindu wengi walikimbia nchi au kuuawa wakati wa mapinduzi ya mwaka 19631964. Wakristo walikuja wakati wa utawala wa Kireno na [[ukoloni]] wa Uingereza.
 
Kuna [[misikiti]] 51, ambayo [[waadhini]] wake hugongana wakati wa maombi, pamoja na [[hekalu|mahekalu]] ya Hindu sita na makanisa kadhaa, yakiwemo [[Kanisa Kuu]] [[Kanisa Katoliki|Katoliki]] na Kanisa Kuu la [[Anglikana]] katika mji wa [[Zanzibar Stonetown]]. Hata hivyo makanisa kadhaa yalichomwa [[moto]] katika miaka ya mwisho.
 
==Afya==
Upande wa huduma ya [[afya]], [[kifo|vifo]] vya [[watoto wachanga]] bado ni 83 kati ya wazaliwa 1000, na inakadiriwa kuwa [[utapiamlo]] huathiri moja katika tatu ya watu wa visiwa.
 
Matarajio ya maisha wakati wa kuzaliwa ni miaka 48., Wakatiwakati matukiomaambukizi ya [[VVU]] / [[UKIMWI]] ni ndogomadogo sana kwa Zanzibar kuliko Tanzania kwa ujumla (0.6% ya idadi ya watu dhidi ya wastani wa kitaifa wa 8%).
 
== DiniUchumi==
[[Uchumi]] wa Zanzibar unategemea [[kilimo]] na [[utalii]]. Mazao yanayouzwa nje ni hasa [[karafuu]], [[basibasi]], [[mdalasini]] na [[pilipili]].
[[Dini]] ya [[Uislamu]] ni kiasi cha 97%. Waliobaki ni mchanganyiko wa [[Wahindu]] na [[Wakristo]], lakini Wahindu wengi walikimbia nchi au kuuawa wakati wa mapinduzi ya mwaka 1963. Wakristo walikuja wakati wa utawala wa Kireno na [[ukoloni]] wa Uingereza.
 
Uchumi wa Zanzibar ni uchumi duni kabisa ambao mwananchi wa kawaida anaishi chini ya [[Dolar ya Marekani|dola]] moja kwa siku au kutokuwa na uhakika wa kupata chochote.
 
Wastani wa mapato ya kila mwaka ya [[Dolar ya Marekani|US $]] 250 na ukweli kwamba karibu [[nusu]] ya wakazi wanaishi chini ya mstari wa [[umaskini]]. Lakini kuna tofauti kubwa katika kiwango cha maisha kati ya wakazi wa Pemba na Unguja, tena kati ya wakazi wa mijini na vijijini.
Kuna [[misikiti]] 51, ambayo [[waadhini]] wake hugongana wakati wa maombi, pamoja na [[hekalu|mahekalu]] ya Hindu sita na makanisa kadhaa, yakiwemo [[Kanisa Kuu]] [[Kanisa Katoliki|Katoliki]] na Kanisa Kuu la [[Anglikana]] katika mji wa [[Zanzibar Stonetown]]. Hata hivyo makanisa kadhaa yalichomwa [[moto]] katika miaka ya mwisho.
 
Hilo linatokana na viongozi wa vyama kutoonesha mori katika kutatua matatizo au kuweka mbinu za kuleta [[maendeleo]], badala yake ni kujadili [[siasa]] kwa muda mwingi.
 
Zanzibar ni nchi yenye matumaini katika uchumi lakini, kutokana na migogoro ya kisiasa, imekuwa katika hali duni kabisa, na [[balozi|mabalozi]] wa Marekani na nchi nyingine walisisitiza mara nyingi umuhimu wa kuwepo ushirikiano katika siasa ili kuiwezesha Zanzibar kuinuka katika hali ya kiuchumi.
 
==Viungo vya nje==
*www.tanzabradford.webs.com/umoja wa watanzania Bradford
*www.tzgr.ewebsite.com/Umoja wa Watanzania Greece
* [http://www.zanzibar.go.tz/ Tovuti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar]
*{{en}}[http://www.nbs.go.tz/stzanzibar.htm Takwimu]
*{{fr}}[http://zanzibar-photos.tripod.com Picha za Zanzibar]