Hadithi za Mtume Muhammad : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Link FA now hanlded in Wikidata using AWB (10783) |
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 4:
[[Muhammad]] aliishi miaka kama arobaini bila kuwa na imani ya [[Mungu]] pekee. Kisha Mwenyezi Mungu akamletea mjumbe kutoka kwake aitwaye [[malaika]] [[Jibrili]] anayeaminika kuwa ndiye aliyempa [[aya]] zilizoko katika [[msahafu]] wa Waislamu, [[Kurani]]. Inaelezwa kuwa Jibrili alimpa Muhammad aya hizo kwa muda wa miaka ishirini na tatu mpaka alipofariki [[dunia]] akiwa na umri wa miaka 63.
Hadithi za Mtume Muhammad zimekusanywa katika vitabu vingi sana na [[wanazuoni]] mbalimbali wa Hadithi, lakini vitabu vya hadithi ambavyo ni muhimu na vinategemewa na wengi katika [[Uislamu]] ni hivi vifuatavyo: Huh
== Vitabu vya Hadithi ==
|