Hadithi za Mtume Muhammad : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tengua pitio 965087 lililoandikwa na 156.157.101.163 (Majadiliano) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Islam}}
'''Hadithi''' au [[Sunnah]] ni maneno na vitendo ambavyo [[Mtume Muhammad]] alikuwa akisema au akifanya katika kipindi chake cha [[utume]]. [[Hadithi]] hizi ni
Hadithi hizi zinajumuisha pia mambo aliyoyaona au kuyasikia katika muda wa utume wake akalinyamazia [[kimya]] au akawa hakulipinga na akalikubali.
==Asili==
Hadithi za Mtume Muhammad zimekusanywa katika vitabu vingi sana na [[wanazuoni]] mbalimbali wa Hadithi, lakini vitabu vya hadithi ambavyo ni muhimu na vinategemewa na wengi katika [[Uislamu]] ni hivi vifuatavyo:▼
Muhammad aliishi miaka kama [[arobaini]] bila kuwa na imani ya [[Mungu]] pekee.
Kisha [[Mwenyezi Mungu]] akamletea mjumbe kutoka kwake aitwaye [[malaika]] [[Jibrili]] anayeaminiwa na Waislamu kuwa ndiye aliyempa [[aya]] zilizoko katika [[msahafu]] wa Waislamu, [[Kurani]].
Inaelezwa kuwa Jibrili alimpa Muhammad aya hizo kwa muda wa miaka ishirini na mitatu mpaka alipofariki [[dunia]] akiwa na [[umri]] wa miaka 63.
▲Hadithi za Mtume Muhammad zimekusanywa katika [[vitabu]] vingi sana na [[wanazuoni]] mbalimbali wa Hadithi, lakini vitabu vya hadithi ambavyo ni muhimu na vinategemewa na wengi katika [[Uislamu]] ni hivi vifuatavyo:
== Vitabu vya Hadithi ==
Line 16 ⟶ 23:
* ''8- Musnad Ahmad bin Hanbal''
Mtume Muhammad alikuwa hapendelei Hadithi zake ziandikwe wakati mmoja na Kurani, yasije yakachanganyika maneno yake na yale ya Mwenyezi Mungu
Hivyo kuna Hadithi aina nne kulingana na fahamu na kutegemewa kwa msimulizi wa hiyo Hadithi: Hadithi Sahihi, Hadithi Hasan (Nzuri), Hadithi Dhaifu na Hadithi Maudhu'u (Hadithi ya Uwongo).
== Hadithi kwa mujibu wa fahamu na kutegemewa kwa msimulizi ==
|