Waanglikana : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4:
Katika [[karne ya 16]] [[mfalme]] [[Henry VIII]] alitenga [[Kanisa]] la nchi hiyo na [[Kanisa Katoliki]].
 
Baada ya [[farakano]] hilo, yalifanyika mabadiliko mbalimbali upande wa [[imani]], [[ibada]] na [[sheria]] kuelekea [[Uprotestanti]]. Hata hivyo mwelekeo wa Kikatoliki uliendelea kuwepo, na bado una nguvu, hasa katika baadhi ya [[dayosisi]]. Hasa miaka hii ya mwisho imeona mvutano kati ya pande hizo mbili kuongezekaumeongezeka hata kusababisha umoja kulegea.
 
Katika karne zilizofuata, kutokana na uenezi wa himaya ya Uingereza duniani, Anglikana ilienea sehemu nchi, na leo ina wafuasi wengi hasa [[Afrika]] ([[Nigeria]], [[Uganda]] n.k.). Kwa jumla wanazidi milioni 7080.
 
Majimbo yake 2738 yanajitegemea, lakini yanaunda [[ushirika]] mmoja. Maaskofu wake wote wanakutana [[Lambeth]] kila baada ya miaka 10 chini ya [[Askofu mkuu]] wa [[Canterbury]].
 
==Historia==
Mstari 36:
 
Siku hizi Waanglikana wa [[Marekani]] wamekuwa wa kwanza kumbariki [[askofu wa kike]] (ni [[Mnegro]]) na askofu [[shoga]], lakini katika suala la kupokea [[wanawake]] katika [[ukasisi]] na [[uaskofu]] na vilevile katika suala la ushoga majimbo yao yametofautiana kiasi cha kuelekea [[farakano]].
 
Kwa sababu hizo, mnamo Januari [[2016]], Jimbo la Marekani lilisimamishwa kwa miaka 3.
 
[[Bara]]ni [[Afrika]] tunasikia hasa jina la [[Desmond Tutu]], Askofu Mwanglikana aliyetetea [[haki]] za Waafrika dhidi ya [[ubaguzi wa rangi]] [[Afrika Kusini]].
Line 42 ⟶ 44:
*[http://www.cofe.anglican.org/ Church of England, official site]
*[http://www.allsouls.org/ascm/allsouls/static/index.html All Souls' Church, London, Evangelical].
 
{{mbegu-Ukristo}}
 
[[Category:Ukristo]]