Mtoto : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 118 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7569 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Children in Namibia(1 cropped).jpg|thumb|200px|right|Watoto nchini Namibia.]]
[[File:2005pop14-.PNG|thumb|250px|[[Ramani]] ya [[dunia]] inayoonyesha [[idadi]] ya watu wenye umri wa chini ya miaka 15 mwaka [[2005]].]]
 
'''Mtoto''' ni [[mwanadamu]] mwenye [[umri]] mdogo, asiye [[mtu mzima]] bado. Kuna tofauti katika [[utamaduni|tamaduni]] mbalimbali kuhusu umri ambakoambapo mtu si mtoto tena.
 
Mara nyingi miaka kabla ya [[kubalehe]] inatazamiwa kuwa kipindi cha utoto na baadaye mtu anaitwa [[kijana]].
 
== Sheria ==
[[Umoja wa Mataifa]] umetoa azimio juu ya [[haki za watoto]] (Convention on the Rights of the Child) lililokubaliwa na karibu nchi zote za dunia isipokuwa [[Marekani]] na [[Somalia]] kuwa [[mkataba wa kimataifa]]. [[Mkataba]] huu unaeleza ya kwamba utoto ni kipindi hadi kufikia umri wa miaka [[18]].
 
[[Mkataba wa Kiafrika juu ya haki na ustawi wa watoto]] (African Charter on the Rights and Welfare of the Child) uliokubaliwa na [[Umoja wa Afrika]] unamwona pia kila mtu hadi umri wa miaka 18 kuwa mtoto.
 
Kuna nchi zinazotofautiana kisheria kati ya watoto na vijana. Kwa mfano [[Ujerumani]] unawanagaliaunawaangalia wale walio kati ya miaka 14 na 18 kuwa vijana na kuwapa haki tofauti na watoto na watu wazima.
 
Mtoto kwa jumla hapewi [[madaraka]] kama mtu mzima, yuko chini ya [[usimamizi]] wa [[wazazi]] au [[walezi]].
 
== Utamaduni ==
Hali ya mtoto inaamuliwa zaidi na utamaduni na [[mapokeo]] yake. Kuna tamaduni ambako kijana wa miaka [[16]] anatazamiwaanatazamwa kuwa mtu mzima tayari. Hasa [[wasichana]] [[ndoa|wanaolewa]] mapema na baadaye wanatazamiwawanatazamwa kuwa [[mwanamke]] na [[mama]] kamili hata wakiwa na umri mdogo tu.
 
Katika [[Mazingira|mazingira]] ya [[wakulima]] au [[wafugaji]] mtoto anategemewa kufanya [[kazi]] kulingana na [[nguvu]] zake; anaweza kupewa [[wajibu]] kamili hata kama kisheria angetazamiwaanatazamwa kuwa mtoto bado.
 
Kwa [[lugha]] mbalimbali katika uhusiano na wazazi wake mtu anaendelea kuitwa mtoto hata kama mwenyewe ameshakuwa mtu mzima na ameshazaa mwenyewe.
 
== Tazama pia ==
Mstari 29:
 
[[Jamii:Familia]]
[[Jamii:Umri]]