Izazi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Bot: Replacements: fix URL prefix |
||
Mstari 1:
'''Izazi ''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Iringa Vijijini]] katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Wakati wa wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,281 waishio humo. <ref>[
Kwa sasa imebaki na vijiji vitatu tu, yaani Izazi, [[Makuka]] na [[Mnadani]], vyote vikiwa katika [[Bonde la Ufa]] kwenye [[bwawa la Mtera]] (ambalo likijaa kabisa liko katika [[mita]] 698.5 juu ya [[usawa wa bahari]]). Ni sehemu ya chini zaidi katika [[Nyanda za Juu]] Kusini mwa Tanzania.
|