1
edit
(A) |
dNo edit summary |
||
Katika [[Amri Kumi]] za [[Biblia]], Waafrika kwa jumla walikuwa nazo hata kabla ya kuja kwa Wazungu: walijua kwamba imewapasa kuwaheshimu wazazi wao, kutoua, kutoiba wala kufanya kinyume na maagizo ya wazee wao.
Kwa mtazamo wa Kikristo, Mungu mwenyewe ndiye aliyewaandaa hivyo Waafrika kupokea [[wokovu]] kwa njia ya [[Yesu Kristo]], aliyekuja si kutangua bali kukamilisha yale yote yaliyo mema katika [[binadamu]] wote.Pamoja na hayo yote bado baadhi ya makabila yana endelea na mila zao za kuheshimu wafu ingawa dini tulizoletewa zenye asili ya mashariki ya kati zinatukataza tusifanye hivyo.
{{mbegu-dini}}
|
edit