Dini asilia za Kiafrika : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
A
dNo edit summary
Mstari 7:
Katika [[Amri Kumi]] za [[Biblia]], Waafrika kwa jumla walikuwa nazo hata kabla ya kuja kwa Wazungu: walijua kwamba imewapasa kuwaheshimu wazazi wao, kutoua, kutoiba wala kufanya kinyume na maagizo ya wazee wao.
 
Kwa mtazamo wa Kikristo, Mungu mwenyewe ndiye aliyewaandaa hivyo Waafrika kupokea [[wokovu]] kwa njia ya [[Yesu Kristo]], aliyekuja si kutangua bali kukamilisha yale yote yaliyo mema katika [[binadamu]] wote.Pamoja na hayo yote bado baadhi ya makabila yana endelea na mila zao za kuheshimu wafu ingawa dini tulizoletewa zenye asili ya mashariki ya kati zinatukataza tusifanye hivyo.
 
{{mbegu-dini}}