Dini asilia za Kiafrika : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Dini asilia za Kiafrika''' ni kati ya [[dini za jadi]] ambazo zinadumu hata leo, ingawa wafuasi wake wanapungua mwaka hadi mwaka kulingana na [[dini]] zilizotokea [[Mashariki ya Kati]], hasa [[Ukristo]] na [[Uislamu]], ambazo zinazidi kuenea [[Bara|barani]] [[Afrika]].
 
Dini za Kiafrika zinafuata [[imani]] maalumu, sawa kabisa na hizo za nchi za ughaibuni ambazo zimeleta mfumo mpya wa [[Ibada|kuabudu]]. Badala ya kuabudia ma[[pango]]ni au [[msitu|misituni]] kama Waafrika walio wengi walivyofanya kwa [[karne]] nyingi, zimehimiza kujenga ma[[kanisa]] na [[misikiti]] kwa ajili ya kumwabudu [[Mungu]] kadiri ya [[ufunuo]] wake mwenyewe.
 
[[Madhehebu]] mengi ya Kikristo yamekuwa yakimuabudu Mungu kupitiakwa kushirikiana na [[wafu]] wanaoheshimiwa kama [[watakatifu]], wakati Waafrika tangu zamani waliwaenzi [[wazee]] wao waliokufa na kuwaita [[mizimu]]. Waafrika hao tangu zamani waliwaheshimu wafu kwenye ma[[kaburi]] yao, lakini baadhi ya Wakristo waliwaheshimu wafu kanisani kwa [[sala]] zao pamoja na kusujudu pengine [[masalia]] au [[picha]] za hao wafu.
 
Katika [[Amri Kumi]] za [[Biblia]], Waafrika kwa jumla walikuwa nazo hata kabla ya kuja kwa [[Wazungu]]: walijua kwamba imewapasa kuwaheshimu [[wazazi]] wao, kutoua, kutoiba wala kufanya kinyume na maagizo ya wazee wao.
 
Kwa mtazamo wa Kikristo, Mungu mwenyewe ndiye aliyewaandaa hivyo Waafrika kupokea [[wokovu]] kwa njia ya [[Yesu Kristo]], aliyekuja si kutangua bali kukamilisha yale yote yaliyo mema katika [[binadamu]] wote.

Pamoja na hayo yote, bado baadhi ya makabilama[[kabila]] yana endeleayanaendelea na [[mila]] zao za kuheshimu wafu ingawa dini tulizoletewa zenye asili ya masharikiMashariki ya katiKati zinatukatazazinakataza tusifanyenamna hivyohiyo.
 
{{mbegu-dini}}
 
[[Jamii:Dini za Afrika|*]]
 
[[en:Traditional African religion]]