Dini asilia za Kiafrika : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Masques BaKongo.JPG|thumb|[[Kinyago|Vinyago]] vya [[Wakongo]].]]
'''Dini asilia za Kiafrika''' ni kati ya [[dini za jadi]] ambazo zinadumu hata leo, ingawa wafuasi wake wanapungua mwaka hadi mwaka kulingana na [[dini]] zilizotokea [[Mashariki ya Kati]], hasa [[Ukristo]] na [[Uislamu]], ambazo zinazidi kuenea [[Bara|barani]] [[Afrika]].