Simu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+ simu ya mkononi |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Alt Telefon.jpg|right|thumbnail|Simu ya zamani]]
[[Picha:Nokia1100 new.jpg|thumbnail|Simu ya mkononi]]
'''Simu''' ''(kutoka [[kar.]] <big>سیم</big> sim inayomaanisha "waya")'' ni chombo cha [[umeme]].
Watu wengi wanaamini kuwa sumu iligunduliwa mnamo 1876 na [[Alexander Graham Bell]].<ref name="WDL">{{cite web |url = http://www.wdl.org/en/item/11375/ |title = Alexander Graham Bell Laboratory Notebook, 1875-1876 |website = [[World Digital Library]] |date = 1875-1876 |accessdate = 2013-07-23 }}</ref> Alikuwa mtu mwenye umri wa miaka 29 aliyeishi nchini Marekani akiwa kama [[Uskoti|Muuskoti]]. Lakini [[Antonio Meucci]] alianzisha na kuanza kutoa matumizi ya simu toka kunako mwaka wa 1871 huko Marekani.
|