Simu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Alt Telefon.jpg|right|thumbnail|Simu ya zamani.]]
[[Picha:Nokia1100 new.jpg|thumbnail|[[Simu ya mkononi]].]]
'''Simu''' ''(kutoka [[
Awali simu ilihitajika iunganishwe na nyaya. Lakini leo hii simu inaweza kutumwa kwa kutumia [[redio]]. Hii nayo inaitwa [[nyayatupu]], [[siwaya]] au [[simu bila waya]].
Watu wengi wanaamini kuwa sumu iligunduliwa mnamo 1876 na [[Alexander Graham Bell]].<ref name="WDL">{{cite web |url = http://www.wdl.org/en/item/11375/ |title = Alexander Graham Bell Laboratory Notebook, 1875-1876 |website = [[World Digital Library]] |date = 1875-1876 |accessdate = 2013-07-23 }}</ref> Alikuwa mtu mwenye umri wa miaka 29 aliyeishi nchini Marekani akiwa kama [[Uskoti|Muuskoti]]. Lakini [[Antonio Meucci]] alianzisha na kuanza kutoa matumizi ya simu toka kunako mwaka wa 1871 huko Marekani. ▼
▲Watu wengi wanaamini kuwa
Tangu mwisho wa karne ya 20 kuna aina mpya ya simu ilienea abayo ni [[simu ya mkononi]]. Ingawa haistahili kweli kuitwa tena "simu" kwa maana asilia kwa sababu hakuna simu ni aina ya mtambo wa mawasiliano uliosambaa haraka sana. Katika nchi nyingi za Afrika simu hizi zina faida ya kwamba zinaruhusu mawasiliano hata pale ambako nyaya za Posta hazifikii.▼
▲Tangu mwisho [[wa karne ya 20]] kuna aina mpya ya simu
Katika nchi nyingi za [[Afrika]] simu hizi zina faida ya pekee, kwamba zinaruhusu mawasiliano hata pale ambako nyaya za [[Posta]] hazifikii.
{{mbegu-sayansi}}
Line 12 ⟶ 16:
{{Marejeo}}
==
* [http://www.kodi-ya-simu.info/nambari-ya-simu.php Kikokotozi cha nambari ya simu kwa simu za kimataifa]
[[Jamii:Mawasiliano]]
[[Jamii:Simu]]
[[Jamii:Teknolojia]]
|