Ugonjwa wa kuambukiza : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Streptococcus pneumoniae.jpg|300px|thumbnail|Bakteria ya "streptococcus pneumoniae" ni pathojeni inayosababisha kifua kikuu.]]
[[Picha:Anopheles gambiae mosquito feeding 1354.p lores.jpg|thumbnail|300px|Wadudu kama mbu huyu wanaweza kupeleka pathojeni kutoka mgonjwa mmoja hadi mwingine.]]
[[Picha:OCD handwash.jpg|300px|thumbnail|Kunawa
'''Ugonjwa wa kuambukizwa''' (kwa [[
==Njia za maambukizo==
==Pathojeni kama visababishi==
Pathojeni ni jina kwa [[bakteria]], [[virusi]] au [[fungi]] zinazoweza kusababisha ugonjwa. Si kila bakteria au fungi
==Dalili za magonjwa==
Magonjwa ya kuambukizwa huwa na [[dalili]] tofauti sana. Mara nyingi dalili za ugonjwa hutegemeana na pathojeni iliyosababisha ugonjwa. Dalili zinaweza kuonekana siku chache baada ya kuambukizwa au kuendelea polepole katika kipindi cha [[wiki]], miezi hata miaka.
==Kingamwili na maambukizo==
Kwa kawaida mgonjwa anapona mwenyewe na [[Mfumo wa kingamaradhi|mfumo wa kinga mwilini]] unajifunza kupambana na pathojeni husika. Kama inarudi mwili unaijua tayari, hivyo si kawaida mtu kugonjeka mara mbili na ambukizo lilelile.
Kwa mtu mwenye [[kingamwili]]
Kuna pia uwezekano wa kupiga [[chanjo]] dhidi ya virusi kadhaa. Lakini magonjwa ya kuambukizwa mengine hayana [[tiba]] hadi leo na magonjwa mapya yanaweza kutokea.
== Makadirio ya vifo duniani kutokana na magonjwa ya kuambukizwa kufuatana na [[WHO]] ==
Mstari 29:
|-
|Magonjwa ya njia za pumzi
|milioni 3.9
|-
|[[UKIMWI]]
Mstari 66:
|}
{{mbegu-tiba}}
[[Jamii:Tiba]]
[[jamii:Magonjwa]]
[[Jamii:Maradhi ya kuambukiza]]
|